KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMJULIA HALI MZEE ISRAELI NAWINGA KIJIJINI KWAKE MASAMA LOSAA WILAYANI HAI.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akipeana mkono na Bwa.Israel Elly Nawinga mapema leo asubuhi katika kijiji cha Masama Losaa,Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro,Pichani kulia ni Mkuu mpya wa Wilaya ya Hai,Mh Anthony Mtaka.Bwa.Israel aliwahi kuwa Waziri wa Elimu na pia Waziri wa Mambo ya Nje kwa nyakati tofauti enzi za uongozi wa Mwal.Julius Kambarage Nyerere.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo mkoani Kilimanjaro kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA HAI MKOANI KILIMANJARO



11 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI MUFINDI




10 years ago
GPL
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI RUANGWA
10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAENDELEA WILAYANI RUANGWA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye uwanja wa Ruangwa Likangara tayari kuhutubia wakazi wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi.


11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI LUSHOTO.



10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI CHEMBA MKOANI DODOMA


11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA ZIARANI WILAYANI KOROGWE MKOANI TANGA


10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MISSENYI MKOANI KAGERA.



10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA
