ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MISSENYI MKOANI KAGERA.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman na msafara wake ukielekea kukagua mradi wa maji uliopo katika kata ya Bundaza,wilayani Missenyi mkoani Kagera.Ndugu Kinana na ujumbe wake wapo katika ziara za kujenga na kuimarisha chama, kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenda kuona chanzo cha maji kwenye eneo la Ukolobe kijiji cha Rukurungo kata ya Bugandika wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Katibu Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIRA YAKE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA.


10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA

10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI CHEMBA MKOANI DODOMA


10 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA WILAYA YA KARAGWE MKOANI KAGERA.




10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE ATEMBELEA VISIWA VINNE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA


10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOANI MWANZA,AMALIZANA NA KAGERA NA GEITA




11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI PANGANII MKOANI TANGA




11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI MBULU MKOANI MANYARA


10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE BUKOBA VIJIJINI LEO MKOANI KAGERA.



