Mzee Makamba asema mgombea Ukawa fisadi
KATIBU Mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yussuf Makamba, amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ni fisadi, mwongo na hakerwi na umasikini wa Watanzania.
Amemtaka kujitokeza hadharani kukanusha kwamba yeye si fisadi na kwamba, alitaka kuondoka CCM mwaka 1995 na alimwandikia barua kueleza hayo.
Makamba alisema hayo jana, kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, alipohutubia mkutano wa hadhara wa kampeni wa mgombea urais wa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo21 Oct
MGOMBEA MMOJA UKAWA NI HALALI KISHERIA ASEMA LUBUVA

10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



10 years ago
Michuzi
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.

Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
GPL
MAMIA WASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA MZEE MAKAMBA
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Mzee Makamba atangaza kumnadi January urais 2015
11 years ago
GPLMH. LOWASSA AMFARIJI MZEE MAKAMBA ALIEFIWA NA MAMA YAKE MZAZI
5 years ago
CCM Blog
CCM YAMVUA UANACHAMA MEMBE, KINANA YAMPA KARIPIO, YAMSAMEHE MZEE MAKAMBA

NA BASHIR NKOROMO, Dar es Salaam
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemvua uanachama Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje Bernard Membe huku Katibu Mkuu mstaafu Abdulrahman Kinana akipewa karipio na kutakiwa kutogombea nafasi yoyote ndani ya chama kwa miezi 18 na Katibu Mkuu mwingine mstaafu Yusuf Makamba akisamehewa.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya...