mhe bernad membe alivyoongea baada ya kuhojiwa na kamati ya maadili ya ccm
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TAcL45lrFMo/UwCMPN81kOI/AAAAAAAAL8M/cYVyXEe10Qo/s72-c/1.jpg)
MH. MEMBE PIA AHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-TAcL45lrFMo/UwCMPN81kOI/AAAAAAAAL8M/cYVyXEe10Qo/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xro5pso2ey0/UwCMVOsf4JI/AAAAAAAAL8U/iT4JFbTchUw/s1600/4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GrESGA1CkwisTs-qGEWXgm*49KccLt5iIVfB3tqmQ30xSAtuMy90CVhVhxpYARHdcZ-cU2cbZZXPZ3bTcDcXzH12K7knwcz6/MEMBE2.jpg)
MEMBE NAYE AHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM MJINI DODOMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa NEC mara baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ambapo alisema Kamati ya Maadili imeuliza masuala mazito na maswali magumu yanayohusiana na uvunjaji wa maadili ya uongozi wa chama. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza na… ...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mOUgBqksIK0/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JlR-oQs*9laPx3PkGQZ-*wW*IKuAo4wjAWmrOMStoPrjZn*2J1Uy0zRdjqlOPl5KrsOr1-jBo4vLNdh4Z6Nxuqw/vlcsnap256469001.jpg?width=600)
SIKU CHACHE BAADA YA KUHOJIWA: MEMBE ANENA MAZITO!
Mh. Benard Kamilius Membe. WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Kamilius Membe amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya jambo la msingi kuwaita na kuwaonya makada wake (akiwemo yeye) wanaotuhumiwa kukivuruga chama kwa kuendesha kampeni za kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika mwakani kwa mujibu wa katiba ya nchi. Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Kamati ya maadili CCM itaweza?
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ameweka wazi kuwa chama kimeunda kamati za usalama na maadili kufanya kazi ya kuwabana wanaokiuka maadili. Kikwete alitoa kauli hiyo kwa...
5 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE
Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Vigogo sita CCM waitwa Kamati ya Maadili
>Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya Kamati ya Ndogo ya Maadili ya chama hicho, kwa ajili ya kuhojiwa kwa tuhuma za kukiuka maadili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania