Kamati ya maadili CCM itaweza?
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ameweka wazi kuwa chama kimeunda kamati za usalama na maadili kufanya kazi ya kuwabana wanaokiuka maadili. Kikwete alitoa kauli hiyo kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
MH. MEMBE PIA AHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM


11 years ago
GPL
WATATU WAHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM
 Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye akiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma tayari kwa kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili.
Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa…
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Vigogo sita CCM waitwa Kamati ya Maadili
>Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya Kamati ya Ndogo ya Maadili ya chama hicho, kwa ajili ya kuhojiwa kwa tuhuma za kukiuka maadili.
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Kamati ya Maadili CCM yatakiwa kuwashughulikia waliotangaza nia
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeshauri Kamati ya Maadili ya CCM kuwaonyesha mlango wa kutokea wote walioanza kampeni za kugombea urais, ubunge na nyingine kinyume cha maadili ya chama.
11 years ago
GPL
MEMBE NAYE AHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM MJINI DODOMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa NEC mara baada ya kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ambapo alisema Kamati ya Maadili imeuliza masuala mazito na maswali magumu yanayohusiana na uvunjaji wa maadili ya uongozi wa chama. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza na… ...
11 years ago
GPL
MAKAMBA, WASSIRA NAO WAHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI CCM
 Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa White House mjini Dodoma mara baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili CCM jana.
January Makamba akiondoka kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mara baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili.…
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: WATATU WAHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM DODOMA LEO




11 years ago
Michuzi18 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania