Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa

Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Kaimu Katibu Mkuu azungumza na waandishi wa Habari kuhusu Wiki ya Umoja wa Mataifa

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Simba Yahaya (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa. Pamoja kwenye picha ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez (wa kwanza kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA: SINA HOFU KUKATWA JINA CCM

Waziri Mkuu Mstaafu na mtangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono wana-CCM  na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma. WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama Cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Baada ya Jina Lake Kukatwa, Haya Ndiyo Yanayomsumbua Edward Lowasa Mpaka Anashindwa Kula


Nimepata taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Lowasa kuwa tangu juzi chakula hakijapanda kwa mzee. Kwamba kila akiwekewa chakula mezani, anachokonoa kidogo tu na inachukua muda mrefu kati ya tonge moja hadi jingine. Pia mdau huyo kanidokeza kuwa Mzee Lowasa kwa sasa ana mawazo mengi sana na hajui afanye nini. Wapo waliomshauri kuwa akae kimya katika kipindi hiki kigumu ili apate muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi. Hata hivyo, ushauri huo ameutupa kwani anahisi kwamba muda...

 

11 years ago

GPL

KATIBU WA BAHAKITA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Katibu Mkuu wa BAHAKITA, Said Mwaipopo akisoma taarifa ya tamko kwa wanahabari. Akionyesha karatasi iliyochorwa ramani ya majengo ya mwekezaji wa kampuni ya MNG PROPERTIES endapo utakamilika.…

 

9 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR LEO

Mgombea wa Rais kwa tiketi ya Chama cha Wananchi CUF anayeungwa mkono na umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na waandishi wa habari leo Ofisini kwake Mtendeni Zanzibar. (Picha na Talib Ussi)Mohammed Masoud rashid mgombea wa urais kupitia chama cha CHAUMA katikati ana mwengine kushoto ni mgombea wa Urais kupitia chama cha DP Abdallah Kombo Khamisi na kulia ni katibu Mkuu waDemocrasia Makini Ameir Hasani Ameir wakizungumza na waandishi hapo katika hotel...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif  (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.

Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

HABARI MBALIMBALI KWA UFUPI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa atakayekuwa mgombea wake wa urais baadaye mwaka huu bado hajajitokeza mpaka sasa.Akihutubia Jumapili katika sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho katika Uwanja wa Majimaji Mjini Songea mkoani Ruvuma, Rais alisema:“Wapo watu wenye sifa zote za urais lakini hawajitokezi na hata wakiambiwa kuwa wanaweza husema kuwa hawajajiandaa. Hawa ndiyo tunaowahitaji kwa kuwa wanahitaji kukumbushwa.”Katika tukio jingine,...

 

11 years ago

Mwananchi

Habari za biashata kwa ufupi

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri amepiga marufuku mahakama za kijadi maarufu kwa jina la “Ndaga shida” kukamata, kutesa na kuwatoza fedha na mifugo wananchi wanaotuhumiwa kutenda makosa mkoani hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani