LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/IxFsugvAtY8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d-NZ6oQiLRo/VcCkcrv0CvI/AAAAAAAAA7s/nxyfyCpAQro/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uKFbKWC5sec/VcCf0i5OouI/AAAAAAAAA7c/1jmDKwUOGqI/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Msindai atetewa kuhusu Lowassa
MMOJA wa wanaharakati mkoani Tabora, Elisha Poneja, amemuunga mkono Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mgana Msindai, kuhusu kauli yake dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Msindai...
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Lowassa alivyozama CCM, kuibukia Ukawa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fBIV3Lat0BA/VWnp0oXddHI/AAAAAAAHa3I/HMe2FmWEuBI/s72-c/MMGL3054.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-fBIV3Lat0BA/VWnp0oXddHI/AAAAAAAHa3I/HMe2FmWEuBI/s640/MMGL3054.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dTBLz6oFCB4/Veckxu7Z-II/AAAAAAAAA4A/GelrSvvuLAU/s72-c/OTH_4554.jpg)
YALIYOJIRI KATIKA PICHA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI ZA MH. LOWASSA, SUMBAWAGA MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dTBLz6oFCB4/Veckxu7Z-II/AAAAAAAAA4A/GelrSvvuLAU/s640/OTH_4554.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FNOSY4cNxRw/VeckwoY9tRI/AAAAAAAAA3w/EEU_rrIgvtY/s640/OTH_4576.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_GRuGAZzxSY/Veckyk2ZLCI/AAAAAAAAA4E/Vjsuj6e3GVQ/s640/OTH_4585.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ng1tFOIh3WI/Veck0s9crSI/AAAAAAAAA4U/zWm-JDd9r5Y/s640/OTH_4619.jpg)
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-fBIV3Lat0BA/VWnp0oXddHI/AAAAAAAHa3I/HMe2FmWEuBI/s640/MMGL3054.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
Vijimambo18 Jul
MKAPA NDIYE ALIYENUSURU VURUGU ISITOKEE NEC, JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/1/16/Benjamin_William_Mkapa_-_World_Economic_Forum_on_Africa_2010_-_1.jpg)
Dar es Salaam. Kauli ya Rais wa Awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ya kutaka wajumbe wa Halmashauri Kuu kupiga kura na wale wasioafiki watoke, ndiyo inaelezwa kuwa ilimaliza mzozo ulioibuka baada ya jina la Edward Lowassa kuenguliwa mapema.
Kikao hicho kilichofanyika Julai 10 kilionekana kuelekea kukumbwa na mtafaruku baada ya wajumbe kumpokea Rais Jakaya Kikwete kwa wimbo wa kuonyesha kuwa wana imani na waziri huyo mkuu wa zamani ambaye jina lake halikuwamo miongoni...