Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba

 

mtanzaniadaily.2indd
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Tanzania

Miji mikubwa na kukithiri na uchafu

UBORESHAJI hafifu wa mitaro ya maji taka na taka ngumu katika barabara za miji na majiji nchini, zimebainika kuchangia kwa kiasi kikubwa kuziba kwa mitaro hiyo, madaraja na kuharibu kingo za mito hali inayopelekea kuwepo kwa matokeo mabaya ya mafuriko mvua zinaponyesha.

Uchunguzi unaonyesha kwamba uzalishaji wa taka katika miji na majiji nchini hauendi sambamba na kuzitunza taka hizo, kwani katika maeneo mengi mijini, taka zimekuwa zikizagaa licha ya kuwa taka hizo zinageuzwa kuwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa aiteka ngome ya CCM

Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), Edward Lowassa akihutubia wananchi kwenye uwanja Town School, mjini Tabora jana. 6th September 2015 Harakati za mgombea urais kupitia Chama cha […]

The post Lowassa aiteka ngome ya CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yashinda viti vyote Monduli, Lowassa atamba

CHAMA Cha Mapinduzi wilayani Monduli imechukua nafasi zote katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji.

 

10 years ago

Dewji Blog

Afrika Kusini yakabiliana na tabianchi kwenye miji yake mikubwa

DSC_1900Mkufunzi na mtafiti, Daktari John Odindi,  kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini (kulia) katika mahojiano maalum na  mwandishi wa Habari mwandamizi wa blog ya  modewjiblog.com, Andrew Chale kwenye mkutano wa wanasayansi juu ya mabadiliko ya tabianchi, unaoendelea  kwenye ukumbi wa Makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa (Picha na Mpiga picha maalum). 

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris, Ufaransa] Watafiti kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika...

 

10 years ago

Michuzi

AFRIKA KUSINI YAKABILIWA NA TABIANCHI KWENYE MIJI YAKE MIKUBWA

DSC_1900Mkufunzi na mtafiti, Daktari John Odindi, kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini (kulia) katika mahojiano maalum na mwandishi wa Habari mwandamizi wa blog ya modewjiblog.com, Andrew Chale kwenye mkutano wa wanasayansi juu ya mabadiliko ya tabianchi, unaoendelea kwenye ukumbi wa Makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa (Picha na Mpiga picha maalum).
Na Andrew Chale, Modewjiblog[Paris, Ufaransa] Watafiti kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

9 years ago

GPL

MTIKISIKO UKAWA

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, akizungumza na waandishi wa habari jana katika ukumbi wa Serena hoteli jijini Dar. ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, amevunja ukimya kwa kueleza kile kilichomsukuma kujiuzulu wadhifa huo, sambamba na kujivua uanachama wa chama hicho. Katika kuvunja kwake ukimya huo, Dk. Slaa aliweka...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA

VIJANA watano wafuasi wa UKAWA wilayani Kilwa kwa wiki tatu sasa wanasota mahabusu kwa sababu ya kunyimwa dhamana kutokana na tuhuma za kufanya kosa la uporaji kwa kutumia silaha. Vijana hao ni Rifati Mnakatu (Katibu Chadema Kata ya Mitole), Ali Matumla (Mwenyekiti CDM Kata ya Mitole), Fadhili Mbopo (CDM), Chande Hemedi Nyayo (CUF) na Omari Mkonda (CUF).Wengine walioshikiliwa ni Hassani Ukurwa

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa alivyozama CCM, kuibukia Ukawa

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anautaka urais. Kada huyo ambaye ni miongoni mwa makada 38 wa CCM waliojitosa kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo, lakini akatoswa, sasa anaiwania tena kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani