Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Miji mikubwa na kukithiri na uchafu
UBORESHAJI hafifu wa mitaro ya maji taka na taka ngumu katika barabara za miji na majiji nchini, zimebainika kuchangia kwa kiasi kikubwa kuziba kwa mitaro hiyo, madaraja na kuharibu kingo za mito hali inayopelekea kuwepo kwa matokeo mabaya ya mafuriko mvua zinaponyesha.
Uchunguzi unaonyesha kwamba uzalishaji wa taka katika miji na majiji nchini hauendi sambamba na kuzitunza taka hizo, kwani katika maeneo mengi mijini, taka zimekuwa zikizagaa licha ya kuwa taka hizo zinageuzwa kuwa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Sep
Lowassa aiteka ngome ya CCM
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa), Edward Lowassa akihutubia wananchi kwenye uwanja Town School, mjini Tabora jana. 6th September 2015 Harakati za mgombea urais kupitia Chama cha […]
The post Lowassa aiteka ngome ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo16 Dec
CCM yashinda viti vyote Monduli, Lowassa atamba
CHAMA Cha Mapinduzi wilayani Monduli imechukua nafasi zote katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji.
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Afrika Kusini yakabiliana na tabianchi kwenye miji yake mikubwa
Mkufunzi na mtafiti, Daktari John Odindi, kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini (kulia) katika mahojiano maalum na mwandishi wa Habari mwandamizi wa blog ya modewjiblog.com, Andrew Chale kwenye mkutano wa wanasayansi juu ya mabadiliko ya tabianchi, unaoendelea kwenye ukumbi wa Makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa (Picha na Mpiga picha maalum).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Paris, Ufaransa] Watafiti kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika...
10 years ago
Michuzi09 Jul
AFRIKA KUSINI YAKABILIWA NA TABIANCHI KWENYE MIJI YAKE MIKUBWA
![DSC_1900](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_1900.jpg)
Na Andrew Chale, Modewjiblog[Paris, Ufaransa] Watafiti kutoka chuo kikuu cha KwaZulu-Natal, Durban nchini Afrika Kusini...
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3Xp6PSbG*jjauONM4VIhZMOXwha3tS8fuu2rJjl8vuuEeFzr756todWYK-G5f4iXgGP7ndq1WgoeXHjlHVQpRfT/4.Dkt.Slaaakizungumzanawanahabarihawapopichani..jpg)
MTIKISIKO UKAWA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-HV0pHIzBciQ/VkZpCM7UUFI/AAAAAAAAXF8/tVjHik9dcio/s72-c/Mangua-620x308.jpg)
Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Lowassa alivyozama CCM, kuibukia Ukawa