Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa alivyozama CCM, kuibukia Ukawa

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anautaka urais. Kada huyo ambaye ni miongoni mwa makada 38 wa CCM waliojitosa kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo, lakini akatoswa, sasa anaiwania tena kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

10 years ago

Mtanzania

Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba

 

mtanzaniadaily.2indd
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa: Lowassa anaongoza

MMGL1140VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimetoa matokeo ya utafiti uliofanywa sehemu tatu tofauti unaoonyesha mgombea wao wa urais, Edward Lowassa, atapata ushindi wa asilimia 76.

Matokeo ya utafiti huo yalitolewa   Dar es Salaam jana ikiwa ni siku chache tangu   Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza itoe utafiti wake ambao ulimpa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli ushindi wa asilimia 65 na Lowassa ushindi wa asilimia 25.

Kabla ya Twaweza,  Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa alivyoingia Ukawa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema.

Ezekiel Kamwaga

 

9 years ago

Raia Tanzania

Dk. Slaa kuibukia?

KUNA taarifa kwamba Katibu Mkuu aliyejiweka kando wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, huenda akaibuka kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho uliopangwa kufanyika jijini Dar es Salaam kesho.

Ingawa hakuna taarifa rasmi kutoka Chadema inayoeleza kuwa Dk. Slaa aliyejiengua kutoka chama hicho mwishoni mwa mwezi uliopita atahudhuria mkutano huo, baadhi ya viongozi wameeleza kuhusu uwezekano wa jambo hilo kutokea.

Gazeti hili lina taarifa kutoka...

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 10 kampeni za Lowassa Ukawa

Elimu bure hadi chuo kikuu, kuondoa umaskini, kuondoa ushuru wa mazao, kuweka riba kwa mazao yanayokopwa, ujenzi wa viwanda na kuongeza kasi katika utendaji kazi serikalini, ni mambo yaliyoibuka katika siku 10 za kampeni za mgombea wa Chadema, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa: Ukawa imekosa au imepata?

HATIMAYE imetokea.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAMFUATA LOWASSA UKAWA

NI shidaah! Siku chache baada ya Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Ngoyai Lowassa (pichani) kukaribishwa katika  Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao, mastaa mbalimbali Bongo wameamua na wengine kushawishiwa kumfuata wakiamini katika uwezo wake kiuongozi, Amani limenasa mpango mkakati kamili. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1eCbwg9 ...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa watangaza kumkaribisha Lowassa

Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa leo wametangaza kumkaribisha aliyekuwa waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kujiunga nao katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani