Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Slaa kuibukia?

KUNA taarifa kwamba Katibu Mkuu aliyejiweka kando wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, huenda akaibuka kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho uliopangwa kufanyika jijini Dar es Salaam kesho.

Ingawa hakuna taarifa rasmi kutoka Chadema inayoeleza kuwa Dk. Slaa aliyejiengua kutoka chama hicho mwishoni mwa mwezi uliopita atahudhuria mkutano huo, baadhi ya viongozi wameeleza kuhusu uwezekano wa jambo hilo kutokea.

Gazeti hili lina taarifa kutoka...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Makamua Kuibukia Bongo Movies

Staa wa Bongo Fleva kutoka kundi la wakali kwanza, anatarajia kuigiza filamu ya maisha ya muziki itakayoitwa “Bongo na Fleva”.  

Akiongea na E-News ya EATV,  Makamua alisema filamu hiyo itahusisha pia mastaa wengine wakubwa wa Bongo Flava na kwamba mpaka sasa mradi huo umekwisha kamilika.

Karibu sana.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa alivyozama CCM, kuibukia Ukawa

>Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa anautaka urais. Kada huyo ambaye ni miongoni mwa makada 38 wa CCM waliojitosa kuomba ridhaa ya kugombea nafasi hiyo, lakini akatoswa, sasa anaiwania tena kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

9 years ago

Mwananchi

Azam kuibukia kwa Kagera leo?

Jahazi la timu ya Kagera Sugar linazo dakika 90 za kuzama au kuibuka leo ugenini dhidi ya Azam kwenye uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto Kabwe kuibukia Kigoma kesho

Siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kumvua uanachama, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kesho atatua jimboni kwake kuzungumza na wananchi kupitia mikutano ya hadhara.

 

10 years ago

Vijimambo

ZITTO KABWE KUIBUKIA KIGOGA KESHO

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
Dar/Kigoma. Siku moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kumvua uanachama, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kesho atatua jimboni kwake kuzungumza na wananchi kupitia mikutano ya hadhara.Uamuzi wa kumfukuza Zitto (pichani) ulifikiwa juzi ikiwa ni muda mfupi baada ya Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyofungua Januari 2, 2014, dhidi ya Bodi ya Wadhamini na katibu mkuu wa Chadema, iliyokuwa imeshikilia uanachama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wa Tamasha la Pasaka kuibukia Shinyanga, Mwanza

MALKIA wa Muziki wa Injili Afrika, Rebecca Malope wa Afrika Kusini anatarajiwa kutua nchini kesho tayari kuwasha moto katika onyesho maalumu kwa wapendwa na wadau wa Kanda ya Ziwa, ukiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

9 years ago

Bongo5

Fastjet kuibukia kwenye soko la Kenya hivi karibuni baada ya kupata leseni

Nimepokea habari kwa furaha kubwa kama walivyo wasafiri wengi wa kwenda Nairobi au kuja Dar es Salaam kutokea Nairobi na miji mingine nchini humo. Kwa muda mrefu kampuni hiyo ya ndege yenye bei nafuu iliyoweza kufanya mapinduzi ya usafiri wa anga, imekuwa ikihangaikia kuingia soko la Kenya bila mafanikio lakini kwa habari ambazo zimeanza kuzagaa […]

 

10 years ago

Michuzi

MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-ughaibuni,yenye makao nchini Ujerumani,inatarijiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya muziki na utamaduni Mamling Festival siku ya jumapili 5 Julai 2015 alhasiri katika viwanja vya Schlosspark,Mamling 3, Mining nchini Austria. Watayarishaji wa onyesho hilo wameitaja bendi hiyo ya Ngoma Africa band kuwa muziki wake ni sawa na mzimu unawapeleka puta washabiki katika maonyesho ya kimataifa na washabiki nchini Austria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani