Azam kuibukia kwa Kagera leo?
Jahazi la timu ya Kagera Sugar linazo dakika 90 za kuzama au kuibuka leo ugenini dhidi ya Azam kwenye uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
9 years ago
Michuzi
AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0





10 years ago
TheCitizen21 Jan
Azam silence Kagera to go top
In-form Azam FC again have outright possession of top spot in the Mainland Premier League following a 3-1 victory over Kagera Sugar at the CCM Kirumba Stadium here yesterday.
10 years ago
MichuziZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA KAGERA KWA MARA YA KWANZA LEO
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Akifurahia mara baada ya kutua Bukoba na tayari kuwahutubia wakazi wa mji wa Bukoba leo wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mashujaa/Uhuru Platform Bukoba leo Jumatatu tarehe 15 june, 2015. Kiongozi huyu ambaye amefuatana na viongozi wenzake wa juu wa chama hicho, yuko kwenye ziara ya kukitangaza chama na sera mpya ya azimio la arusha lenye usasa.
11 years ago
GPL
Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga
Kikosi cha timu ya Kagera Sugar. Na Sweetbert Lukonge
KAGERA Sugar inatarajiwa kukipiga na Simba, kesho Jumamosi kisha itakutana na Yanga, Jumatano ijayo, lakini benchi la ufundi la timu hiyo ya mkoani Kagera limesema ‘litakaza’ kwenye mechi zote hizo.
Ikiwa Kagera itaizuia Yanga kupata ushindi, maana yake ni kuwa, Azam FC itakuwa imetwaa ubingwa kwani mpaka sasa inahitaji pointi sita katika mechi tatu...
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Azam yainyuka Kagera, yakaa kileleni Ligi Kuu
Azam imejikita kileleni mwa Ligi Kuu kwa kishindo baada ya kuichapa Kagera Sugar ya Bukoba kwa mabao 3-1 jana kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
5 years ago
Michuzi
SIMBA YAPEWA AZAM, YANGA DHIDI YA KAGERA KOMNE LA ASFC

Upangaji huo umerushwa moja kwa moja na kituo cha Azam na kusimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF).
Katika mchezo wa kwanza, Simba Watakutana na Azam ikiaminiwa ni kuwa mchezo wenye ushindani mkubwa sana kutokana na historia ya mchezo wa ligi uliopita.
Mchezo wa pili utakuwa ni Yanga wakiwakaribisha Kagera...
10 years ago
Vijimambo28 Dec
YANGA NA AZAM NI SHIIIIIIIIIDA WATOSHANA NGUVU 2 KWA 2 TAIFA LEO



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania