SIMBA YAPEWA AZAM, YANGA DHIDI YA KAGERA KOMNE LA ASFC
![](https://1.bp.blogspot.com/-9hNL8D8wZyk/XtDWe66YWEI/AAAAAAALr-A/mHZmihtNvDonNjH8xlJ-l4Rp2b5cYSuUACLcBGAsYHQ/s72-c/yanga-sc-vs-simba-sc-of-tanzania_x4n7nlmxk7ae1pc63schtfr7d.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya jamiiDROO ya upangaji wa mechi za robo faini ha Kombe la Azam Sports Federation Cup imefanyika kwa vigogo viwili vya soka kukutana katika hatua hiyo.
Upangaji huo umerushwa moja kwa moja na kituo cha Azam na kusimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF).
Katika mchezo wa kwanza, Simba Watakutana na Azam ikiaminiwa ni kuwa mchezo wenye ushindani mkubwa sana kutokana na historia ya mchezo wa ligi uliopita.
Mchezo wa pili utakuwa ni Yanga wakiwakaribisha Kagera...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEzTuBuhzeUD2kqpzylyrDlcLaYuFkHLQ2SIWksNhfpnHNyttMGz5*1zyAXwi3dEG0Tak3Xr-dguNeFSCcB61sKA/kagera.jpg?width=650)
Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz …
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena kwa michezo miwili kupigwa, Mwanza ulichezwa mchezo wa Toto Africans dhidi ya African Sports ya Tanga, wakati Dar Es Salaam katika dimba la Azam Complex Chamazi, kulikuwa kuna mchezo wa kuvutia kati ya Azam FC dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC ambao walikuwa katika uwanja wao wa nyumbai […]
The post Hivi ndivyo Azam FC walivyoendeleza ubabe katika uwanja wao wa Chamazi dhidi ya Kagera, Cheki pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.