Fastjet kuibukia kwenye soko la Kenya hivi karibuni baada ya kupata leseni
Nimepokea habari kwa furaha kubwa kama walivyo wasafiri wengi wa kwenda Nairobi au kuja Dar es Salaam kutokea Nairobi na miji mingine nchini humo. Kwa muda mrefu kampuni hiyo ya ndege yenye bei nafuu iliyoweza kufanya mapinduzi ya usafiri wa anga, imekuwa ikihangaikia kuingia soko la Kenya bila mafanikio lakini kwa habari ambazo zimeanza kuzagaa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
PoaApp hivi karibuni itakua kwenye simu yako
“PoaApp” ni application mpya ya kitanzania itakayokujia hivi karibuni kwenye simu yako. Kama mtumiaji, utakuwa na uwezo wa kuchati na marafiki zako na ndugu, kusikiliza nyimbo uzipendazo na utaweza kupata habari za kitaifa na kimataifa;vitu hivi utavipata bure kutoka “PoaApp”.
Kwa habari zaidi kutoka “PoaApp’’ tafadhali fuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kama;
*Facebook.com/PoaApp
*Twitter:@PoaApp
*Instagram:@PoaApp
Pia waweza kutembelea website yetu ya www.poaapp.co.tz ili uweze...
11 years ago
MichuziHIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
10 years ago
MichuziMAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
10 years ago
Bongo Movies01 May
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MTANZANIA NI MOJA KATI YA ABIRIA WALIOKUWEMO KWENYE NDEGE YA AMERICAN ILIYOTUA KWA DHARURA BAADA YA GURUDUMU LA MBELE KUPATA PANCHA
Ndege ya shirika la ndege la American iliyokua ikisafiri kutoka Houston Texas kuelekea Baltimore siku ya Jumatatu Sept 29, 2014 mida ya jioni na iliyokua imebeba abiria 140 akiwemo Mtanzania Baraka Daudi ilibidi itue kwa dharura kwenye uwanja huo wa Houston baada ya rubani wa ndege hiyo kugundua gurudumu la mbele (norse gear) kutokua na upepo. Baada ya rubani kudua hitilafu hiyo aliwasiliana na mnara wa kuongozea ndege wa uwanja huo wa Houston wajaribu kuingalia ndege hiyo kwa ukaribu zaidi...
10 years ago
GPLMASOGANGE SIRUDI BONGO HIVI KARIBUNI!
10 years ago
GPLTONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI