HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
Sehemu ya wafanyakazi wa Kikosi zimamoto wakiendelea na zoezi la kuzima moto ulioteketeza kabisa Soko la Ilala Mchikichini Jijini Dar es salaam leo.Moto huo ulianza majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo na kuteketeza kila kilichokuwepo katika eneo la soko hilo. Chanzo cha kutokea kwa moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa.Picha zote na Othman Michuzi.
Kazi ya kuzima moto ikiendelea.
Jitihada za kuuzima moto huo bado zinaendelea.
Moto bado unaendelea kuwaka mpaka wakati huu,huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s72-c/201505201005%2Bcopy.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA DARAJA LINALOUNGANISHA ENEO LA TANDALE NA MWANANYAMALA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s640/201505201005%2Bcopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LoXEDvFmAIE/VVzrDOISqWI/AAAAAAAHYs0/lJJjY0REVK8/s640/201505201303%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7ZwvLKJ1q8/VVzrU2G2nnI/AAAAAAAHYtg/Z2HUxvDd6CA/s640/2015052013035%2Bcopy.jpg)
Hali ilivyo katika...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani
Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]
The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xb55vVxwQUY/Uz7yFeoCjBI/AAAAAAAFYmU/FdKc835myJY/s72-c/New+Picture+(15).png)
HIVI NDIVYO HALI HALISI ILIVYO VIJIJI VYA MAGOWE NA MATETENI MJINI MOROGORO BAADA YA MAFURIKO MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xb55vVxwQUY/Uz7yFeoCjBI/AAAAAAAFYmU/FdKc835myJY/s1600/New+Picture+(15).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jm_YbFshR-w/Uz7yFJnLAOI/AAAAAAAFYmM/t9DgcsKZJ0o/s1600/New+Picture+(16).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oan6vF2BFcw/Uz7yEwuBwzI/AAAAAAAFYmI/lqkeHJT_Uf0/s1600/New+Picture+(17).png)
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Vyumba vya kupimia nguo kabla ya kununuliwa katika soko la Mchikichini — Ilala jijini Dar vilitumika kudhalilisha wanawake
Wawezeshaji wa Sheria katika soko la Mchikichini katika Manispaa ya Ilala, wakiwa na mabango ya mradi wa Mpe Riziki si Matusi baada ya kuzungumza na waaandishi wa habari Dar es Salaam jana wanaotembelea masoko yaliyopo katika Manispaa hiyo kuona maendeleo ya vita ya kupinga udhalilishaji wa kijinsia katika masoko hayo baada ya Shirika la Equality for Growth linaloendesha mradi huo kutoa mafunzo kwa Wawezeshaji wa Sheria wanaoshirikiana na wafanyabiashara katika vita hivyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UxaSUCUbRG4/VUdWRA7CMEI/AAAAAAAADuc/C4Dj3K8Cm2E/s72-c/5.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI MBEYA LEO KUTOKANA NA MGOMO WA MADEREVA UNAOENDELEA NCHI NZIMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UxaSUCUbRG4/VUdWRA7CMEI/AAAAAAAADuc/C4Dj3K8Cm2E/s640/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z9XLOphb7y0/VUdBM_aE_JI/AAAAAAAADqA/Hok3V4AAerw/s640/10.jpg)
9 years ago
MichuziVYUMBA VYA KUPIMIA NGUO KABLA YA KUNUNULIWA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM VILITUMIKA KUDHALILISHA WANAWAKE
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
11 years ago
Michuzi31 Jan
10 years ago
Michuzi13 Aug