HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI MBEYA LEO KUTOKANA NA MGOMO WA MADEREVA UNAOENDELEA NCHI NZIMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UxaSUCUbRG4/VUdWRA7CMEI/AAAAAAAADuc/C4Dj3K8Cm2E/s72-c/5.jpg)
Madereva wengi nchini wamefanya mgomo wa vyombo vya usafiri, tangu jana asubuhi mpaka leo ambapo bado haijajulikana hatma ya mgomo huo, wakazi wa jiji la mbeya wajikuta wakiwa katika wakati mgumu kutokana na adha ya usafiri kutokana na vyombo hivyo kuweka mgomo, wasafiri wa mikoa na wilaya mbali mbali bado wapo katika hali ngumu sambamba na wanafunzi wasomao mbali kidogo na mji wa jiji la Mbeya.picha zote na Fadhiri Atick (Mr.Pengo) Mbeya.
Sehemu wa Madereva wa Mabasi jijini Mbeya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s72-c/201505201005%2Bcopy.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA DARAJA LINALOUNGANISHA ENEO LA TANDALE NA MWANANYAMALA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s640/201505201005%2Bcopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LoXEDvFmAIE/VVzrDOISqWI/AAAAAAAHYs0/lJJjY0REVK8/s640/201505201303%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7ZwvLKJ1q8/VVzrU2G2nnI/AAAAAAAHYtg/Z2HUxvDd6CA/s640/2015052013035%2Bcopy.jpg)
Hali ilivyo katika...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani
Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]
The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4taCaeMkVk/U5mXdgP1mTI/AAAAAAAFp_g/MU1GiR2wS4A/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mtoJ5-Gov0g/U5mX17L3p7I/AAAAAAAFqBY/lVMccwoJ1bQ/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mcv-k0PlZzQ/U5mX3yY0h9I/AAAAAAAFqBg/IS4rkjpLveA/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_0SQ2MxWFc8/U5mX4u5OwpI/AAAAAAAFqBc/l3XNMXLVHqQ/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOfTHryg5E4/U5mX68Z4-0I/AAAAAAAFqBo/QeByFpYyM3I/s1600/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 May
Mgomo tena, Madereva wasema leo hakuna basi barabarani nchi nzima
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-4May2015.jpg)
Takribani siku 22 zikiwa zimepita tangu madereva wagome kutoa huduma za usafiri nchi nzima, leo wametangaza mgomo mwingine kutokana na ukimya dhidi ya madai yao kwa serikali.
Madereva hao jana walitoa tamko la kuwapo kwa mgomo huo kupitia vyama vyao, huku wakikanusha kwamba watagoma sambamba na kuandamana.
Walisema leo watakuwa kwenye ofisi zao za muungano wao zilizopo Ubungo, jijini Dar es Salaam na hawatatoa huduma za usafiri.
Akizungumza na NIPASHE jana,...
10 years ago
MichuziTASWIRA ZA HALI ILIVYO JIJINI DAR LEO KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xb55vVxwQUY/Uz7yFeoCjBI/AAAAAAAFYmU/FdKc835myJY/s72-c/New+Picture+(15).png)
HIVI NDIVYO HALI HALISI ILIVYO VIJIJI VYA MAGOWE NA MATETENI MJINI MOROGORO BAADA YA MAFURIKO MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xb55vVxwQUY/Uz7yFeoCjBI/AAAAAAAFYmU/FdKc835myJY/s1600/New+Picture+(15).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jm_YbFshR-w/Uz7yFJnLAOI/AAAAAAAFYmM/t9DgcsKZJ0o/s1600/New+Picture+(16).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oan6vF2BFcw/Uz7yEwuBwzI/AAAAAAAFYmI/lqkeHJT_Uf0/s1600/New+Picture+(17).png)
11 years ago
Michuzi31 Jan
10 years ago
GPLSAKATA LA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUJULIKANA IJUMAA HII
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10