HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA DARAJA LINALOUNGANISHA ENEO LA TANDALE NA MWANANYAMALA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s72-c/201505201005%2Bcopy.jpg)
Hivi ndivyo hali ilivyo katika hili ni Daraja lilalounganisha eneo la Tandale na Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ambapo wananchi wanaokaa maeneo ya jirani na Daraja hilo waliamua kukusanya viroba vilivyosheheni taka ngumu na kuwevilundika kwenye kingo za Daraja hilo ili kudhibiti maji yasiendelee kuchimba njia hiyo. Hali hii imekuja kutokana na mafuriko ya maji yaliyotokea hivi karibuni katika maeneo mengi hapa jijini kutokana na Mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha.
Hali ilivyo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4taCaeMkVk/U5mXdgP1mTI/AAAAAAAFp_g/MU1GiR2wS4A/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mtoJ5-Gov0g/U5mX17L3p7I/AAAAAAAFqBY/lVMccwoJ1bQ/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mcv-k0PlZzQ/U5mX3yY0h9I/AAAAAAAFqBg/IS4rkjpLveA/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_0SQ2MxWFc8/U5mX4u5OwpI/AAAAAAAFqBc/l3XNMXLVHqQ/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOfTHryg5E4/U5mX68Z4-0I/AAAAAAAFqBo/QeByFpYyM3I/s1600/7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UxaSUCUbRG4/VUdWRA7CMEI/AAAAAAAADuc/C4Dj3K8Cm2E/s72-c/5.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI MBEYA LEO KUTOKANA NA MGOMO WA MADEREVA UNAOENDELEA NCHI NZIMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UxaSUCUbRG4/VUdWRA7CMEI/AAAAAAAADuc/C4Dj3K8Cm2E/s640/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z9XLOphb7y0/VUdBM_aE_JI/AAAAAAAADqA/Hok3V4AAerw/s640/10.jpg)
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani
Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]
The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi31 Jan
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-C3xJeGtBM7Y/UzUvU_np7jI/AAAAAAAATuY/OXhmFrMyOIs/s1600/IMG-20140328-WA0002.jpg?width=640)
HALI ILIVYO ENEO LA JANGWANI BAADA YA MVUA KUNYESHA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xb55vVxwQUY/Uz7yFeoCjBI/AAAAAAAFYmU/FdKc835myJY/s72-c/New+Picture+(15).png)
HIVI NDIVYO HALI HALISI ILIVYO VIJIJI VYA MAGOWE NA MATETENI MJINI MOROGORO BAADA YA MAFURIKO MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xb55vVxwQUY/Uz7yFeoCjBI/AAAAAAAFYmU/FdKc835myJY/s1600/New+Picture+(15).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jm_YbFshR-w/Uz7yFJnLAOI/AAAAAAAFYmM/t9DgcsKZJ0o/s1600/New+Picture+(16).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oan6vF2BFcw/Uz7yEwuBwzI/AAAAAAAFYmI/lqkeHJT_Uf0/s1600/New+Picture+(17).png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s72-c/DSCN0583.jpg)
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s1600/DSCN0583.jpg)
BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi24 Apr
HIVI NDIVYO ILIVYO BARABARA YA ISAPULANO WILAYANI MAKETE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UibsUizT9sE/VWBqKQCKV3I/AAAAAAAAsZI/I8kExhcJ-us/s72-c/IMG_1871%2Bcopy.jpg)
HALI ILIVYO DARAJA LA RANDO, KAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-UibsUizT9sE/VWBqKQCKV3I/AAAAAAAAsZI/I8kExhcJ-us/s640/IMG_1871%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aICagia06kU/VWBpS4sGvZI/AAAAAAAAsYk/vYDlk62RSZ0/s640/IMG_1860%2Bcopy.jpg)