HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s72-c/DSCN0583.jpg)
Katika pita pita za kila siku mtaani,hivi karibuni kamera yetu ilikatiza maeneo ya Vingunguti pembezoni mwa bonde la Mto Msimbazi na kukutana na hali kama ionyekanavyo pichani hapa.kiukweli mambo si shwari katika eneo hili hasa usalama wa afya kwa wakazi waliozunguka eneo hilo.ukiangalia kwa makini utabaini kuwa kuna watoto wadogo wakiendelea na michezo katika eneo hilo bila kufahamu kuwa wapo hatarini kiafya.
BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iSVNcG5DtvM/U2ikHRVy3cI/AAAAAAAFf3Q/HidWx4pM2Lw/s72-c/24.jpg)
KIKWANGUA ANGA KANDO KANDO YA MTO UNAOKATIZA BONDE LA JANGWANI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSVNcG5DtvM/U2ikHRVy3cI/AAAAAAAFf3Q/HidWx4pM2Lw/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sd-LYax8Q2M/U2ikLaanlXI/AAAAAAAFf3Y/h8PaGN-3lpk/s1600/25.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s640/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
11 years ago
MichuziHIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA BAADA YA WAJASILIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s72-c/100_1392%2Bcopy.jpg)
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s1600/100_1392%2Bcopy.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ni mipango ya Serikali bonde la mto Msimbazi baada ya Bomoabomoa kukamilika…
Wakati zoezi la Bomoabomoa likiendelea katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam tayari Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limetoa mikakati ya kuendeleza bonde la mto Msimbazi. Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Bonaventure Baya amezungumzia mipango yao kuwa wana mpango wa muda mfupi kati ya Januari 2016 hadi Juni 2016. Baada ya Ubomoaji Serikali […]
The post Hii ni mipango ya Serikali bonde la mto Msimbazi baada ya Bomoabomoa kukamilika… appeared first on...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FZPi6_H0k-Y/VoK3_dSod7I/AAAAAAAIPRE/mMOCn7DEA3c/s72-c/1673c53e-98a0-4652-ada7-18fb3420efc8.jpg)
bomoabomoa ya hiyari yaendelea bonde la msimbazi jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZPi6_H0k-Y/VoK3_dSod7I/AAAAAAAIPRE/mMOCn7DEA3c/s640/1673c53e-98a0-4652-ada7-18fb3420efc8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fneG2hTUpuM/VoK3-taX8qI/AAAAAAAIPRA/XDyc0zzI_oc/s640/134830ec-3bb9-4f35-aee3-069a4b4c66f4.jpg)
11 years ago
Michuzi31 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s72-c/201505201005%2Bcopy.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA DARAJA LINALOUNGANISHA ENEO LA TANDALE NA MWANANYAMALA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-w5PuIuXzx8M/VVzrDN9VcpI/AAAAAAAHYs4/mX7qK92SD1o/s640/201505201005%2Bcopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LoXEDvFmAIE/VVzrDOISqWI/AAAAAAAHYs0/lJJjY0REVK8/s640/201505201303%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7ZwvLKJ1q8/VVzrU2G2nnI/AAAAAAAHYtg/Z2HUxvDd6CA/s640/2015052013035%2Bcopy.jpg)
Hali ilivyo katika...
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi
Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.
Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.
Cloudsfm.com