bomoabomoa ya hiyari yaendelea bonde la msimbazi jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZPi6_H0k-Y/VoK3_dSod7I/AAAAAAAIPRE/mMOCn7DEA3c/s72-c/1673c53e-98a0-4652-ada7-18fb3420efc8.jpg)
Baadhi ya wananchi wakiwa wamesha bomoa nyumba zao zilizo katika Bonde la mto Msimbazi, mtaa wa Magomeni Sunna jijini Dar es salaam, kabla ya serikali kuanza kuzibomoa nyumba hizo ifikapo tarehe 5 januari 2016
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s640/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ni mipango ya Serikali bonde la mto Msimbazi baada ya Bomoabomoa kukamilika…
Wakati zoezi la Bomoabomoa likiendelea katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam tayari Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limetoa mikakati ya kuendeleza bonde la mto Msimbazi. Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Bonaventure Baya amezungumzia mipango yao kuwa wana mpango wa muda mfupi kati ya Januari 2016 hadi Juni 2016. Baada ya Ubomoaji Serikali […]
The post Hii ni mipango ya Serikali bonde la mto Msimbazi baada ya Bomoabomoa kukamilika… appeared first on...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi
Bomoabomoa bonde la Msimbazi imeanza tayari na baadhi ya nyumba tayari zimeshabomolewa katika eneo la Hananasifu, Kinondoni Charles Mkalawa ambaye ni Afisa mipango miji Wizara ya Ardhi alikuwa eneo la tukio na kuzungumza na millardayo.com kuhusu bomoabomoa inayoendelea katika baadhi ya meneo Wananchi hawkauwa na taarifa na bomoabomoa..“Serikali inabidi itambue hii hadithi ya kuwatafutia watu […]
The post Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi appeared first...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Bomoa bomoa bonde la msimbazi Dar yaendelea
Tingatinga lilipotua Mto Msimbazi eneo la Kinondoni Mkwajuni kabla ya kuanza kazi ya bomoa bomoa.
Taswira ya Bonde la kinondoni Mkwajuni baada ya nyumba kuvunjwa katika eneo hilo.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa katika eneo hilo.
Tingatinga likiwa kazini.
Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wakifuatilia bomoa bomoa hiyo.
Tingatinga likiendelea na kazi yake.
ZOEZI la bomoa bomoa katika Bonde la Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam lililoanza wiki iliyopita, limeendelea tena wiki hii kutekeleza amri ya tamko la...
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi
Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.
Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.
Cloudsfm.com
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s72-c/DSCN0583.jpg)
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-cO2UTM3YIoA/VImFIx-2vlI/AAAAAAAAogk/j4Tr1oVdMnU/s1600/DSCN0583.jpg)
BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Global Publishers17 Dec
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/h9ivSaNi5x8/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
TAMISEMI yaendelea kuhamasisha suala la usafi jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama Kiliba (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Dar es salaam na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala wakiwasili eneo la soko la Feri jijini Dar es salaa kujionea hali ya usafi wa soko hilo.
Baadhi ya wahudumu wakiendelea na usafi eneo la soko la Feri jijini Dar es salaa huku Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Kagyabukama...