BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Manispaa za jiji la Dar es salaam zitafanya zoezi la kuondoa wavamizi maeneo yote ya Mabondeni, kingo za mito na za Bahari, maeneo ya wazi, maeneo ya miundombinu na maeneo yote hatarishi zaidi ya 150 katika jiji la Dar es salaam. Bomoa bomoa ya leo inaendelea katika Bonde la mto msimbazi.Mkuu wa Kitengo cha Sheria Balaza la Taifa la usimamizi wa mazingira Tanzania (NEMC), Manchale Heche...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/h9ivSaNi5x8/default.jpg)
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Bomoa bomoa bonde la msimbazi Dar yaendelea
Tingatinga lilipotua Mto Msimbazi eneo la Kinondoni Mkwajuni kabla ya kuanza kazi ya bomoa bomoa.
Taswira ya Bonde la kinondoni Mkwajuni baada ya nyumba kuvunjwa katika eneo hilo.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa katika eneo hilo.
Tingatinga likiwa kazini.
Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wakifuatilia bomoa bomoa hiyo.
Tingatinga likiendelea na kazi yake.
ZOEZI la bomoa bomoa katika Bonde la Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam lililoanza wiki iliyopita, limeendelea tena wiki hii kutekeleza amri ya tamko la...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s72-c/IMG-20151120-WA0077.jpg)
BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s640/IMG-20151120-WA0077.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-__AVnMJAN9k/Vk8B6lCdPFI/AAAAAAAIHCM/wd5fzT38oBs/s640/IMG-20151120-WA0055.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9pChYKZTbB0/Vk8B8qY1uAI/AAAAAAAIHDE/3NarBslPcXk/s640/IMG-20151120-WA0064.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUPBkSwMu0s/Vk8B3yjaFrI/AAAAAAAIHBA/-R2iuR9qIMk/s640/IMG-20151120-WA0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eSi7SdPm5I8/Vk8CCvHthII/AAAAAAAIHFo/VNT_oykUdmM/s640/IMG-20151120-WA0089.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s72-c/20151118030950.jpg)
BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s640/20151118030950.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s72-c/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s640/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vkY5r2U7wLw/Vk2mu7wAkoI/AAAAAAAIGyc/MIHWTCRqrPM/s640/0e9437a3-9392-4d4c-b524-baac200011ff.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s72-c/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s640/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1cUMIPH6Mw/VovFlj8d1gI/AAAAAAAIQnU/dxodUeTZV4Y/s640/3cb89889-c985-4a5b-9a4d-acc3ea789990%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3KEiONi5RJI/VovFliZ2AtI/AAAAAAAIQnY/AuwQ0GdBDzo/s640/7809fde7-6859-481b-a559-351c0601a4a5.jpg)
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s1600/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3if5dRok50/VPGoBXH9VgI/AAAAAAAHGgg/5Cvo9DB5iAs/s1600/Ardhi%2B-%2B2.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Aug
Bomoa bomoa nyingine Dar es Salaam
WANANCHI waliojenga pembezoni mwa barabara inayounganisha Tegeta na Mbezi, wametakiwa kuondoka katika maeneo hayo ili kupisha ujenzi wa barabara hiyo katika kiwango cha lami.
9 years ago
StarTV04 Jan
Mbunge Mtulya awasilisha pingamizi mahamani kuzuia Bomoa Bomoa Dar
Zoezi la bomoa bomoa lililokuwa linafanyika katika maeneo ya mabondeni katika jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia kuliwekea pingamizi mahakamani.
Shauri hilo linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani tarehe 4 januari mwaka huu likiwa na uwakilishi wa wananchi nane kutoka katika maeneo yaliyoathirika na zoezi hilo.
Hapo awali zoezi hilo la Bomoa bomoa lilianzia katika bonde la msimbazi eneo la mkwajuni Jijini Dar es...