WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Alphayo Kidata (kulia) bakitoa tathmini ya zoezi la bomoa bomoa awamu ya tatu linaloendelea katika Manispaa ya Kinondoni jana jijini la Dar es salaam.Kulia ni Muhandisi wa Manispaa ya Kinondoni Baraka Mkuya.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Bw. Alphayo Kidata (hayupo pichani) alipokuwa akitoa tathmini ya zoezi la bomoa bomoa kwa wananchi waliovamia maeneo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV31 Dec
Uwanja Wa Kaunda Kukumbwa na bomoa bomoa.
Klabu ya Soka ya Yanga imekumbwa na kadhia ya bomoabomoa baada ya kutakiwa kufanya hivyo katika uwanja wao wa Kaunda kwa kuwa unadaiwa kuwepo kwenye mkondo wa maji yaani bondeni.
Ubomoaji wa Uwanja huo wa Kaunda hautalihusu jengo kuu la Ofisi za Yanga.
Baraza la Taifa la kuhifadhi Mazingira (Nemc) limepitisha alama ya X katika uwanja wa Kaunda ambapo Yanga inatakiwa kuubomoa kabla ya Januari 04 mwakani na endapo itashindwa kufanya hivyo kwa hiari basi mamlaka husika itabomoa Uwanja huo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s72-c/IMG-20151120-WA0077.jpg)
BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s640/IMG-20151120-WA0077.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-__AVnMJAN9k/Vk8B6lCdPFI/AAAAAAAIHCM/wd5fzT38oBs/s640/IMG-20151120-WA0055.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9pChYKZTbB0/Vk8B8qY1uAI/AAAAAAAIHDE/3NarBslPcXk/s640/IMG-20151120-WA0064.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUPBkSwMu0s/Vk8B3yjaFrI/AAAAAAAIHBA/-R2iuR9qIMk/s640/IMG-20151120-WA0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eSi7SdPm5I8/Vk8CCvHthII/AAAAAAAIHFo/VNT_oykUdmM/s640/IMG-20151120-WA0089.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/h9ivSaNi5x8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s72-c/20151118030950.jpg)
BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s640/20151118030950.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s72-c/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s640/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vkY5r2U7wLw/Vk2mu7wAkoI/AAAAAAAIGyc/MIHWTCRqrPM/s640/0e9437a3-9392-4d4c-b524-baac200011ff.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s72-c/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s640/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1cUMIPH6Mw/VovFlj8d1gI/AAAAAAAIQnU/dxodUeTZV4Y/s640/3cb89889-c985-4a5b-9a4d-acc3ea789990%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3KEiONi5RJI/VovFliZ2AtI/AAAAAAAIQnY/AuwQ0GdBDzo/s640/7809fde7-6859-481b-a559-351c0601a4a5.jpg)
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s640/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
Mbunge Mtulya awasilisha pingamizi mahamani kuzuia Bomoa Bomoa Dar
Zoezi la bomoa bomoa lililokuwa linafanyika katika maeneo ya mabondeni katika jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia kuliwekea pingamizi mahakamani.
Shauri hilo linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani tarehe 4 januari mwaka huu likiwa na uwakilishi wa wananchi nane kutoka katika maeneo yaliyoathirika na zoezi hilo.
Hapo awali zoezi hilo la Bomoa bomoa lilianzia katika bonde la msimbazi eneo la mkwajuni Jijini Dar es...