Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwanja Wa Kaunda Kukumbwa na bomoa bomoa.

 

Klabu ya Soka ya Yanga imekumbwa na kadhia ya bomoabomoa baada ya kutakiwa kufanya hivyo katika uwanja wao wa Kaunda kwa kuwa unadaiwa kuwepo kwenye mkondo wa maji yaani bondeni.

Ubomoaji wa Uwanja huo wa Kaunda hautalihusu jengo kuu la Ofisi za Yanga.

Baraza la Taifa la kuhifadhi Mazingira (Nemc) limepitisha alama ya X  katika uwanja wa Kaunda ambapo Yanga inatakiwa kuubomoa kabla ya Januari 04 mwakani na endapo itashindwa kufanya hivyo kwa hiari basi mamlaka husika itabomoa Uwanja huo...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Alphayo Kidata (kulia) bakitoa tathmini ya zoezi la bomoa bomoa awamu ya tatu linaloendelea katika Manispaa ya Kinondoni jana jijini la Dar es salaam.Kulia ni Muhandisi wa Manispaa ya Kinondoni Baraka Mkuya.Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Bw. Alphayo Kidata (hayupo pichani) alipokuwa akitoa tathmini ya zoezi la bomoa bomoa kwa wananchi waliovamia maeneo...

 

9 years ago

StarTV

Mbunge Mtulya awasilisha pingamizi mahamani kuzuia Bomoa Bomoa Dar

Zoezi la bomoa bomoa lililokuwa linafanyika katika maeneo ya mabondeni katika jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya  baada ya Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia kuliwekea pingamizi mahakamani.

Shauri hilo linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani tarehe 4 januari mwaka huu likiwa na uwakilishi wa wananchi nane kutoka katika maeneo yaliyoathirika na zoezi hilo.

 Hapo awali zoezi hilo la Bomoa bomoa lilianzia katika bonde la msimbazi eneo la mkwajuni Jijini Dar es...

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR

  Nyumba nyingine eneo hilo nayo ikisubili kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.  Ubomoaji ukiendelea.   



 Wazee wa kazi wakiwa katia geti la nyumba inayotakiwa kubomolewa  maeneo ya mtaa wa  Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam leo. Wakazi wa nyumba nyeupe inayobomolewa wakitoka nje ya nyumba baada ya kuanza kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.Picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO

 Baadhi ya Nyumba zikibomolewa mapema leo mchana mtaa Bwawani Manispaa ya Kinondoni,ambapo zoezi hilo linafanyika maeneo mbalimbali katika Manispaa hiyo. Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , kama msimamizi na mtekelezaji wa sera ya Taifa ya Ardhi, imekusudia kuanza kuendesha zoezi la kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi.  Askari wa jeshi la Polisi wakisimamaia suala la usalama mtaa wa Bwawani wakati wa bomoa bomoa...

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR

 Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salam leo na kuwaomba wananchi wa eneo la Basihaya kata ya bunju kuwa watii wa sheria bila shuruti wakati wa ubomoaji wa majengo yaliyojengwa kwenye sehemu za wazi, pia amewahi wananchi kujua maeneo ya wazi yaliyo karibu nao, pia ameongezea kuwa wananchi wakiona maeneo ya wazi yanajengwa watoe taarifa manispaa ya Kinondoni au wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi.Ubomoaji wa maeneo ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Lukuvi asitisha zoezi la bomoa bomoa Dar

lukuviWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini, Mhe. William Lukuvi.

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.

Aidha, wale wote waliojenga kwenye maeneo ya wazi, wavamizi wa maeneo ya watu, maeneo ya shughuli za kijamii kwenye fukwe, kingo za mito na...

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR

Mkuu wa Kitengo cha Sheria Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC), Manchale Heche akizungumza juu ya kulinda usalama wa wananchi kimazingira na kiafya kwa ujumla kwa maeneo hayo ni hatari na wenyewe ni mashuhuda kipindi cha masika na kusababisha mafuriko.Bomoa bomoa ikiendelea Jangwani jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani