BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO

Baadhi ya Nyumba zikibomolewa mapema leo mchana mtaa Bwawani Manispaa ya Kinondoni,ambapo zoezi hilo linafanyika maeneo mbalimbali katika Manispaa hiyo. Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , kama msimamizi na mtekelezaji wa sera ya Taifa ya Ardhi, imekusudia kuanza kuendesha zoezi la kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi.
Askari wa jeshi la Polisi wakisimamaia suala la usalama mtaa wa Bwawani wakati wa bomoa bomoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR





KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR


9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR



Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
9 years ago
Habarileo18 Dec
Bomoa bomoa yatikisa Dar
VILIO vimetawala baada ya wakazi waishio katika eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam kukumbwa na bomoabomoa ambapo nyumba zaidi ya 100 zimebomolewa katika siku ya kwanza katika eneo la Mkwajuni na Magomeni katika Manispaa ya Kinondoni.
9 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA


9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.

9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Manispaa ya Kinondoni kuendesha zoezi la ‘bomoa bomoa’ leo ni kwa nyumba zisizofuata taratibu
Mkutano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la ubomoaji wa nyumba Manispaa ya Kinondoni (kuanzia kushoto) Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Baraka Mkuya, Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Bw. Methew Nhonge.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.doc