Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manispaa ya Kinondoni kuendesha zoezi la ‘bomoa bomoa’ leo ni kwa nyumba zisizofuata taratibu

DSC_7080 - Copy

Mkutano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la ubomoaji wa nyumba Manispaa ya Kinondoni (kuanzia kushoto) Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Baraka Mkuya, Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Bw. Methew Nhonge.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.doc 

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO

 Baadhi ya Nyumba zikibomolewa mapema leo mchana mtaa Bwawani Manispaa ya Kinondoni,ambapo zoezi hilo linafanyika maeneo mbalimbali katika Manispaa hiyo. Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , kama msimamizi na mtekelezaji wa sera ya Taifa ya Ardhi, imekusudia kuanza kuendesha zoezi la kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi.  Askari wa jeshi la Polisi wakisimamaia suala la usalama mtaa wa Bwawani wakati wa bomoa bomoa...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Lukuvi asitisha zoezi la bomoa bomoa Dar

lukuviWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini, Mhe. William Lukuvi.

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.

Aidha, wale wote waliojenga kwenye maeneo ya wazi, wavamizi wa maeneo ya watu, maeneo ya shughuli za kijamii kwenye fukwe, kingo za mito na...

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR

  Nyumba nyingine eneo hilo nayo ikisubili kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.  Ubomoaji ukiendelea.   



 Wazee wa kazi wakiwa katia geti la nyumba inayotakiwa kubomolewa  maeneo ya mtaa wa  Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam leo. Wakazi wa nyumba nyeupe inayobomolewa wakitoka nje ya nyumba baada ya kuanza kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.Picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UBOMOAJI WA NYUMBA MANISPAA YA KINONDONI

Mkutano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la ubomoaji wa nyumba Manispaa ya Kinondoni (kuanzia kushoto) Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Baraka Mkuya, Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Bw. Methew Nhonge.

 

9 years ago

Bongo5

Nyumba mbili za Wastara kupitiwa na bomoa bomoa

Wastara

Muigizaji wa filamu, Wastara Juma amejikuta katika wakati mgumu tena baada ya nyumba zake mbili kupitishiwa X kwaajili ya kubomolewa siku zijazo.

Wastara

Katika ukurasa wake wake wa Facebook, Wastara ameandika:

Mashabiki wangu mwaka umeanza vibaya kwangu nyumba zangu mbili zimewekwa X na zitabomolewa siku yoyote kuanzia leo,siko sawa kabisa niombeeni dua presha imepanda,nawapenda sana

Akiongea na Bongo5, ndugu wa Wastara amethibisha kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa hali ya muigizaji huyo si...

 

10 years ago

GPL

TRAFIKI DAR WAENDESHA ZOEZI LA KUKAMATA BODABODA ZISIZOFUATA SHERIA

    askari wa usalama barabarani wakiwa wamezikamata baadhi ya pikipiki ambazo madereva wake wamekutwa na makosa mbalimbali eneo la Mbagala Rangi Tatu asubuhi hii,ambapo walilazimika kulipa faini ya shilingi 30,000/=     askari wa usalama barabarani wakiendelea na ukaguzi wa bodaboda.
            Vijana wakipandisha… ...

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR

 Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salam leo na kuwaomba wananchi wa eneo la Basihaya kata ya bunju kuwa watii wa sheria bila shuruti wakati wa ubomoaji wa majengo yaliyojengwa kwenye sehemu za wazi, pia amewahi wananchi kujua maeneo ya wazi yaliyo karibu nao, pia ameongezea kuwa wananchi wakiona maeneo ya wazi yanajengwa watoe taarifa manispaa ya Kinondoni au wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi.Ubomoaji wa maeneo ya...

 

9 years ago

Michuzi

BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR

Mkuu wa Kitengo cha Sheria Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC), Manchale Heche akizungumza juu ya kulinda usalama wa wananchi kimazingira na kiafya kwa ujumla kwa maeneo hayo ni hatari na wenyewe ni mashuhuda kipindi cha masika na kusababisha mafuriko.Bomoa bomoa ikiendelea Jangwani jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

 

9 years ago

Mtanzania

Bomoa bomoa kuanza leo nchi nzima

Ardhi - 6CHRISTINA GAULUHANGA NA IDDY ABDALLAH, DAR ES SALAAM

SERIKALI imetangaza kampeni maalumu ya kubomoa nyumba, vibanda vya biashara pamoja na kuwaondoa watu waliovamia maeneo ya wazi kinyume cha sheria.

Bomoa bomoa hiyo inatarajiwa kuanza leo katika maeneo kadhaa jijini Dar es Salaam, huku mkakati huo ukitarajiwa kuendelea nchini kote kuanzia sasa.

Uamuzi huo wa Serikali ulitangazwa Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari na Kamishna wa Ardhi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani