Manispaa ya Kinondoni kuendesha zoezi la ‘bomoa bomoa’ leo ni kwa nyumba zisizofuata taratibu
Mkutano wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Waandishi wa Habari kuhusu zoezi la ubomoaji wa nyumba Manispaa ya Kinondoni (kuanzia kushoto) Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Bw. Baraka Mkuya, Kamishna wa Ardhi Tanzania Dkt. Moses Kusiluka na Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya Dar es salaam Bw. Methew Nhonge.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.doc
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO

9 years ago
Global Publishers23 Dec
Waziri Lukuvi asitisha zoezi la bomoa bomoa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini, Mhe. William Lukuvi.
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
Aidha, wale wote waliojenga kwenye maeneo ya wazi, wavamizi wa maeneo ya watu, maeneo ya shughuli za kijamii kwenye fukwe, kingo za mito na...
9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR





KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziTAARIFA YA UBOMOAJI WA NYUMBA MANISPAA YA KINONDONI
9 years ago
Bongo506 Jan
Nyumba mbili za Wastara kupitiwa na bomoa bomoa

Muigizaji wa filamu, Wastara Juma amejikuta katika wakati mgumu tena baada ya nyumba zake mbili kupitishiwa X kwaajili ya kubomolewa siku zijazo.
Katika ukurasa wake wake wa Facebook, Wastara ameandika:
Mashabiki wangu mwaka umeanza vibaya kwangu nyumba zangu mbili zimewekwa X na zitabomolewa siku yoyote kuanzia leo,siko sawa kabisa niombeeni dua presha imepanda,nawapenda sana
Akiongea na Bongo5, ndugu wa Wastara amethibisha kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa hali ya muigizaji huyo si...
10 years ago
GPLTRAFIKI DAR WAENDESHA ZOEZI LA KUKAMATA BODABODA ZISIZOFUATA SHERIA
9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR


9 years ago
Michuzi
BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR



Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Bomoa bomoa kuanza leo nchi nzima
CHRISTINA GAULUHANGA NA IDDY ABDALLAH, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetangaza kampeni maalumu ya kubomoa nyumba, vibanda vya biashara pamoja na kuwaondoa watu waliovamia maeneo ya wazi kinyume cha sheria.
Bomoa bomoa hiyo inatarajiwa kuanza leo katika maeneo kadhaa jijini Dar es Salaam, huku mkakati huo ukitarajiwa kuendelea nchini kote kuanzia sasa.
Uamuzi huo wa Serikali ulitangazwa Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari na Kamishna wa Ardhi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...