BOMOA BOMOA YA MAENEO YA WAZI YAENDELEA LEO MTAA WA BASIHAYA BUNJU JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ys_aE7a4oGI/Vk2mvOnE0hI/AAAAAAAIGyk/1wPYnn99kQU/s72-c/3532ac21-0a2c-444b-b128-e01541e52a27.jpg)
Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salam leo na kuwaomba wananchi wa eneo la Basihaya kata ya bunju kuwa watii wa sheria bila shuruti wakati wa ubomoaji wa majengo yaliyojengwa kwenye sehemu za wazi, pia amewahi wananchi kujua maeneo ya wazi yaliyo karibu nao, pia ameongezea kuwa wananchi wakiona maeneo ya wazi yanajengwa watoe taarifa manispaa ya Kinondoni au wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi.
Ubomoaji wa maeneo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s72-c/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
BOMOA BOMOA YAENDELEA JANGWANI LEO JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-s9UjcHxy-uU/VovQzlve82I/AAAAAAAIQpE/TNnsXCcNmG0/s640/AsJW8P3R6rIC-gxS89FHLhwolg9___uUzA2qjr7kZBST.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1cUMIPH6Mw/VovFlj8d1gI/AAAAAAAIQnU/dxodUeTZV4Y/s640/3cb89889-c985-4a5b-9a4d-acc3ea789990%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3KEiONi5RJI/VovFliZ2AtI/AAAAAAAIQnY/AuwQ0GdBDzo/s640/7809fde7-6859-481b-a559-351c0601a4a5.jpg)
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s72-c/IMG-20151120-WA0077.jpg)
BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BICHI (BLOCK K) JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-GkDRgULhFbI/Vk8B_6mCCXI/AAAAAAAIHEg/pDyc1pSHE58/s640/IMG-20151120-WA0077.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-__AVnMJAN9k/Vk8B6lCdPFI/AAAAAAAIHCM/wd5fzT38oBs/s640/IMG-20151120-WA0055.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9pChYKZTbB0/Vk8B8qY1uAI/AAAAAAAIHDE/3NarBslPcXk/s640/IMG-20151120-WA0064.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eUPBkSwMu0s/Vk8B3yjaFrI/AAAAAAAIHBA/-R2iuR9qIMk/s640/IMG-20151120-WA0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eSi7SdPm5I8/Vk8CCvHthII/AAAAAAAIHFo/VNT_oykUdmM/s640/IMG-20151120-WA0089.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s72-c/20151118030950.jpg)
BOMOA BOMOA YATIKISA MANISPAA YA KINONDONI JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MGbhyVeS4yE/VkxdSxMW2oI/AAAAAAAIGjU/4D2smBM-YeU/s640/20151118030950.jpg)
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Bomoa bomoa bonde la msimbazi Dar yaendelea
Tingatinga lilipotua Mto Msimbazi eneo la Kinondoni Mkwajuni kabla ya kuanza kazi ya bomoa bomoa.
Taswira ya Bonde la kinondoni Mkwajuni baada ya nyumba kuvunjwa katika eneo hilo.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa katika eneo hilo.
Tingatinga likiwa kazini.
Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo wakifuatilia bomoa bomoa hiyo.
Tingatinga likiendelea na kazi yake.
ZOEZI la bomoa bomoa katika Bonde la Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam lililoanza wiki iliyopita, limeendelea tena wiki hii kutekeleza amri ya tamko la...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/h9ivSaNi5x8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s1600/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3if5dRok50/VPGoBXH9VgI/AAAAAAAHGgg/5Cvo9DB5iAs/s1600/Ardhi%2B-%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s640/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
Mbunge Mtulya awasilisha pingamizi mahamani kuzuia Bomoa Bomoa Dar
Zoezi la bomoa bomoa lililokuwa linafanyika katika maeneo ya mabondeni katika jiji la Dar es salaam, limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia kuliwekea pingamizi mahakamani.
Shauri hilo linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani tarehe 4 januari mwaka huu likiwa na uwakilishi wa wananchi nane kutoka katika maeneo yaliyoathirika na zoezi hilo.
Hapo awali zoezi hilo la Bomoa bomoa lilianzia katika bonde la msimbazi eneo la mkwajuni Jijini Dar es...