Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI NDIVYO HALI HALISI ILIVYO VIJIJI VYA MAGOWE NA MATETENI MJINI MOROGORO BAADA YA MAFURIKO MAKUBWA

Team nzima ya Tanzania Redcross wakiwa katika picha ya pamoja mjini Morogoro katika maeneo ya Magowe na Mateteni ambayo yaliyoathirika na mafuriko makubwa hadi leo hii watanzania zaidi ya 500 wanaishi kwenye mahema. Kijana wa TRCS kutoka Mzizima Redcross branch ndugu Sute Samson Mtumbati akitoa elimu kwa wananchi juu ya kupambana na mazingira magumu wanayokutana nayo. Hili ni tank la maji safi ambalo uhudumia watu zaidi ya mia tano (500) ambalo halimalizi masaa 3 yanakwisha na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani

Asubuhi ya December 15 jijini Dar Es Salaam ilinyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali kiasi hata kupelekea baadhi ya watu, kushindwa na wengine kuchelewa kwenda kazini kutokana na mvua kuwa kubwa. Mtu wangu wa nguvu baada ya mvua kukata ilibidi nitembelee mitaa tofauti tofauti ya Jiji la Dar Es Salaam ili kuona hali ya maeneo […]

The post Pichaz 15 baada ya mvua kunyesha Dar leo December 15, hivi ndivyo hali ilivyo mitaani appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO

 Sehemu ya wafanyakazi wa Kikosi zimamoto wakiendelea na zoezi la kuzima moto ulioteketeza kabisa Soko la Ilala Mchikichini Jijini Dar es salaam leo.Moto huo ulianza majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo na kuteketeza kila kilichokuwepo katika eneo la soko hilo. Chanzo cha kutokea kwa moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa.Picha zote na Othman Michuzi.  Kazi ya kuzima moto ikiendelea.  Jitihada za kuuzima moto huo bado zinaendelea.  Moto bado unaendelea kuwaka mpaka wakati huu,huku...

 

10 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA DARAJA LINALOUNGANISHA ENEO LA TANDALE NA MWANANYAMALA JIJINI DAR

 Hivi ndivyo hali ilivyo katika hili ni Daraja lilalounganisha eneo la Tandale na Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ambapo wananchi wanaokaa maeneo ya jirani na Daraja hilo waliamua kukusanya viroba vilivyosheheni taka ngumu na kuwevilundika kwenye kingo za Daraja hilo ili kudhibiti maji yasiendelee kuchimba njia hiyo. Hali hii imekuja kutokana na mafuriko ya maji yaliyotokea hivi karibuni katika maeneo mengi hapa jijini kutokana na Mvua kubwa zilizokuwa zikinyesha.
Hali ilivyo katika...

 

10 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI MBEYA LEO KUTOKANA NA MGOMO WA MADEREVA UNAOENDELEA NCHI NZIMA

Madereva wengi nchini wamefanya mgomo wa vyombo vya usafiri, tangu jana asubuhi mpaka leo ambapo bado haijajulikana hatma ya mgomo huo, wakazi wa jiji la mbeya wajikuta wakiwa katika wakati mgumu kutokana na adha ya usafiri kutokana na vyombo hivyo kuweka mgomo, wasafiri wa mikoa na wilaya mbali mbali bado wapo katika hali ngumu sambamba na wanafunzi wasomao mbali kidogo na mji wa jiji la Mbeya.picha zote na Fadhiri Atick (Mr.Pengo) Mbeya.Sehemu wa Madereva wa Mabasi jijini Mbeya...

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO ILIVYO BARABARA YA ISAPULANO WILAYANI MAKETE

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete zimeharibu barabara hii kama unavyoona, hapa ni kijiji cha Isapulano ambapo mvua imeharibu barabara hii kiasi cha kusababisha mabasi na malori kubadilisha njia na kupita kijiji jirani cha Ivalalila, hapa yanapita magari madogo tu tena yenye 4 wheel ambao nayo yanapita kwa tabu.    Hali hii amekutana nayo mwandishi wetu wakati akielekea kwenye uzinduzi wa wiki ya chanjo wilaya ya Makete ambayo imezinduliwa kiwilaya katika ...

 

5 years ago

Michuzi

MTANZANIA ATOA USHUHUDA HALI ILIVYO NCHINI ITALIA BAADA YA MLIPUKO WA VIRUSI VYA COVID-19 ‘WAPO LOCKDOWN’

Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV

Hali ya Maambukizi ya Virusi vya COVID-19 imetajwa kuwa si shwari nchini Italia kwa Wananchi wengi nchini humo kujifungia ndani (Lockdown) kutokana na kasi ya maambukizi ya virusi hivyo vilivyosambaa sehemu nyingi duniani kwa sasa.

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Parma (Parma Unniversity) kilichopo nchini Italia, Mtanzania Frank Charles amezungumza na Michuzi Blog, Michuzi TV ameeleza hali si shwari nchini humo kutokana na Wananchi wengi kujifungia ndani muda wote...

 

5 years ago

BBCSwahili

Hali ya upashaji habari ilivyo baada ya kufungwa kwa baadhi ya vyombo vya habari Burundi

Baadhi ya vyombo vya habari vilivyopigwa marufuku kwa sasa hivi vimeanza kupeperusha matangazo yake mtandaoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani