Vyumba vya kupimia nguo kabla ya kununuliwa katika soko la Mchikichini — Ilala jijini Dar vilitumika kudhalilisha wanawake
Wawezeshaji wa Sheria katika soko la Mchikichini katika Manispaa ya Ilala, wakiwa na mabango ya mradi wa Mpe Riziki si Matusi baada ya kuzungumza na waaandishi wa habari Dar es Salaam jana wanaotembelea masoko yaliyopo katika Manispaa hiyo kuona maendeleo ya vita ya kupinga udhalilishaji wa kijinsia katika masoko hayo baada ya Shirika la Equality for Growth linaloendesha mradi huo kutoa mafunzo kwa Wawezeshaji wa Sheria wanaoshirikiana na wafanyabiashara katika vita hivyo.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVYUMBA VYA KUPIMIA NGUO KABLA YA KUNUNULIWA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM VILITUMIKA KUDHALILISHA WANAWAKE
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s72-c/1.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KATIKA SOKO LA ILALA MCHIKICHINI JIJINI DAR BAADA YA KUTEKETEA KWA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpH1zYxwXEI/U5mXKtSqChI/AAAAAAAFp-g/pru8GxLKPpg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4taCaeMkVk/U5mXdgP1mTI/AAAAAAAFp_g/MU1GiR2wS4A/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mtoJ5-Gov0g/U5mX17L3p7I/AAAAAAAFqBY/lVMccwoJ1bQ/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mcv-k0PlZzQ/U5mX3yY0h9I/AAAAAAAFqBg/IS4rkjpLveA/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_0SQ2MxWFc8/U5mX4u5OwpI/AAAAAAAFqBc/l3XNMXLVHqQ/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOfTHryg5E4/U5mX68Z4-0I/AAAAAAAFqBo/QeByFpYyM3I/s1600/7.jpg)
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
11 years ago
GPLSOKO LA MCHIKICHINI DAR LILILOVYOUNGUA MOTO
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
11 years ago
GPL12 Jun
VIDEO: SOKO LA MCHIKICHINI DAR LILILOVYOUNGUA MOTO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mFjskapruBA/VAnM1M8dsZI/AAAAAAAGfBo/KlS2VzKbgqg/s72-c/unnamed%2B(94).jpg)
Vikavo vya Bunge la Afrika Mashariki vyaahirishwa kabla ya jijini dar
Sheria Inataka Ili Kikao Kiendelee Lazima Bungeni Kuwe Na Nusu Ya Wabunge Wa Kuchaguliwa Na Angalau Wabunge Watatu Kutoka Kila Nchi Mwananchama.
Kikao Kiliahirishwa Baada Ya Rwanda Kuwa Na Mbunge Mmoja Na Burundi Wawili. Hii Ilikua Mara Ya Pili Baada Bunge Hilo Kuahirishwa...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wengi wajitokeza uzinduzi wa awamu ya pili Kupinga Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake Soko la Temeke Sterio Jijini Dar
9 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA UZINDUZI WA AWAMU YA PILI KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE SOKO LA TEMEKE STERIO JIJINI DAR ES SALAAM
KWA PICHA ZAIDI...