Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA: Hivi ndivyo tumbo la Aunt Ezekiel linavyoonekana kwa sasa hivi. Atarajiwa kujingua karibuni

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL, HIVI KWELI WEWE NI MKE WA MTU?

NIMEWAHI kuzungumza mara kadhaa katika safu hii kuhusu huyu binti, mtoto wa nguli wa zamani wa soka Tanzania, Ezekiel Greyson ‘Jujuman’, aliyevuma sana akiwa na Simba. Anaitwa Aunt Ezekiel, staa wa filamu za Kibongo! Nilisema kuwa katika tasnia ya filamu, ni muigizaji mzuri kwa kupamba sinema kutokana na uzuri wa sura na umbo lake, lakini katika wasanii wanaotakiwa kwa weledi na viwango, bado ni mtu wa kati, ingawa...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hivi Ndivyo Alivyoamka Leo Wema Sepetu

Mrembo na mwigizaji wa filamu wakike anaependawa na wengi hapa Bongo, Wema Sepetu kwa mara ya kwanza mwaka huu ametupia picha zake alizopigigwa na moja kati ya wapigapicha mahili hapa nchini ajulikanae kama Albert Manifester.

Mwanadada Wema kupitia ukurasa wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM, leo hasubuhi kabisa alizibandika picha hizo na kuwataja na kuwashukuru wote waliofanikisha picha hizo kuwa katika ubora mzuri kiasi hiki.

"I woke up like this..... Picture by son  @albertmanifester...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Izzo B kuachia video ya ‘Walalahoi’ hivi karibuni

Izzo ameingia mtaani kushoot video ya wimbo wake ‘Walalahoi’ chini ya muongozaji aliyeongoza video zake nyingi, Nick Dizzo. Hizi ni baadhi ya picha za Izzo akiwa location kutengeneza kichupa hicho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Hivi ndivyo unavyoweza kuzuwia sambaa kwa taarifa potofu

Wataalamu wanautolea wito umma kujifunza kutoa ‘taarifa safi ’ili kusaidia kuzuwia kuenea kwa taarifa za gushi.

 

9 years ago

Bongo5

Nemo kuvunja ukimya kwa kuachia ‘Hero’ hivi karibuni

Msanii wa R&B, Nemo anatarajia kuuvunja ukimya wake kwa kuachia wimbo mpya hivi karibuni. Nemo aliyewahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Number One’ na ‘Wife’ amesema wimbo wake mpya Hero umetayarishwa na Man Walter katika studio za Combination Sounds. “Kimya kina mshindo niko na mwanangu Man Walter tuko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha wimbo […]

 

10 years ago

Michuzi

VODACOM YATANGAZA RASMI ZAWADI ZITAKAZOKABIDHIWA KWA MABINGWA WA LIGI HIVI KARIBUNI

Wadhamini wakuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetangaza rasmi zawadi zitakazotolewa hivi karibuni kwa Mabingwa wa ligi hiyo iliyomalizika hivi karibuni ambapo timu ya Yanga yenye makazi yake Jangwani jijini Dar es Salaam iliibuka na ubingwa.Kwa mujibu wa mkataba wa ligi na mdhamini mbali na zawadi kutolewa  kwa timu bingwa zimekuwa zikitolewa pia kwa,mshindi wa pili na wa tatu katika ligi,mfungaji bora,timu iliyoonyesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani