Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nemo kuvunja ukimya kwa kuachia ‘Hero’ hivi karibuni

Msanii wa R&B, Nemo anatarajia kuuvunja ukimya wake kwa kuachia wimbo mpya hivi karibuni. Nemo aliyewahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Number One’ na ‘Wife’ amesema wimbo wake mpya Hero umetayarishwa na Man Walter katika studio za Combination Sounds. “Kimya kina mshindo niko na mwanangu Man Walter tuko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha wimbo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Izzo B kuachia video ya ‘Walalahoi’ hivi karibuni

Izzo ameingia mtaani kushoot video ya wimbo wake ‘Walalahoi’ chini ya muongozaji aliyeongoza video zake nyingi, Nick Dizzo. Hizi ni baadhi ya picha za Izzo akiwa location kutengeneza kichupa hicho.

 

9 years ago

Bongo5

Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo

baby boy

Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.

baby boy

Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.

“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...

 

9 years ago

Habarileo

Slaa kuvunja ukimya leo

WAKATI vyama vinavyounda umoja wa upinzani (Ukawa) vikimaliza utata wa ugawaji wa majimbo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa leo atavunja ukimya kuhusu hatima yake ya kisiasa kwa kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Slaa kuvunja ukimya Dar leo

Baada ya kimya cha zaidi ya mwezi mmoja na kutoonekana hadharani, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari leo nane mchana jijini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Utamaduni unatufanya tushindwe kuvunja ukimya

‘Vunja ukimya’ ndiyo kauli tunazozisikia siku hizi kwenye vigenge vya mazungumzo, kwenye vyombo vya habari na maeneo kadha wa kadha ambayo yana mikusanyiko ya watu.

 

9 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego kuvunja ukimya na ‘Nyumbani Kwetu’

nnnay

Rapper Nay wa Mitego amesema anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nyumbani Kwetu’ ambapo amedai watu watashangaa jinsi alivyobadilika kwenye uimbaji.

Nay wa Mitego

Nay amedai kuwa wimbo huo utatoka ukiwa pamoja na video.

“Wimbo unaitwa Nyumbani Kwetu, kwani muziki fulani wa tofauti ambao sijawahi kufanya. Pia hii ni surprise kwa mashabiki wangu wote ambao wanapenda muziki wangu na sidhani kama kuna mtu aliwahi kufikiria kama nitafanya muziki wa aina hii,” rapper huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo...

 

9 years ago

Bongo5

JCB kuvunja ukimya na ‘Turu Juu Ya Ngeu’

Mwana Hip Hop kutoka Watengwa, JCB anatarajia kuachia wimbo wake mpya kutoka kwenye album yake, ‘Turu Juu Ya Ngeu’ iliyotenezwa nchini Ufaransa. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, JCB alisema wimbo utakaotoka pamoja na video amemshirikisha rapper wa Watengwa Dishwaa. “Watengwa Records tuna rudi upya katika television yako na kwenye redio […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani