Utamaduni unatufanya tushindwe kuvunja ukimya
‘Vunja ukimya’ ndiyo kauli tunazozisikia siku hizi kwenye vigenge vya mazungumzo, kwenye vyombo vya habari na maeneo kadha wa kadha ambayo yana mikusanyiko ya watu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Dec
Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo
![baby boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/baby-boy-300x194.jpg)
Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.
Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.
“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...
9 years ago
Habarileo01 Sep
Slaa kuvunja ukimya leo
WAKATI vyama vinavyounda umoja wa upinzani (Ukawa) vikimaliza utata wa ugawaji wa majimbo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa leo atavunja ukimya kuhusu hatima yake ya kisiasa kwa kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Dk Slaa kuvunja ukimya Dar leo
9 years ago
Bongo522 Oct
JCB kuvunja ukimya na ‘Turu Juu Ya Ngeu’
9 years ago
Bongo512 Nov
Nay wa Mitego kuvunja ukimya na ‘Nyumbani Kwetu’
![nnnay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/nnnay-300x194.jpg)
Rapper Nay wa Mitego amesema anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nyumbani Kwetu’ ambapo amedai watu watashangaa jinsi alivyobadilika kwenye uimbaji.
Nay amedai kuwa wimbo huo utatoka ukiwa pamoja na video.
“Wimbo unaitwa Nyumbani Kwetu, kwani muziki fulani wa tofauti ambao sijawahi kufanya. Pia hii ni surprise kwa mashabiki wangu wote ambao wanapenda muziki wangu na sidhani kama kuna mtu aliwahi kufikiria kama nitafanya muziki wa aina hii,” rapper huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo...
9 years ago
Bongo526 Aug
Nemo kuvunja ukimya kwa kuachia ‘Hero’ hivi karibuni
9 years ago
Bongo517 Sep
Video: Stella Mwangi (STL) wa Kenya ‘achukua hatua’ ya kuvunja ukimya
9 years ago
Michuzi01 Sep
SIMU TV: HABARI ZA USIKU WA LEO - DR SLAA KUVUNJA UKIMYA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...