Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMU TV: HABARI ZA USIKU WA LEO - DR SLAA KUVUNJA UKIMYA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM


 Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Slaa kuvunja ukimya Dar leo

Baada ya kimya cha zaidi ya mwezi mmoja na kutoonekana hadharani, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari leo nane mchana jijini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Slaa kuvunja ukimya leo

WAKATI vyama vinavyounda umoja wa upinzani (Ukawa) vikimaliza utata wa ugawaji wa majimbo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa leo atavunja ukimya kuhusu hatima yake ya kisiasa kwa kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Meneja wa Vifaa vya Huawei,  Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga. Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...

 

9 years ago

Michuzi

DK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo, baada ya kukaa kimya kingi sana tangu mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia  Chama cha Demokrasia na Maendeleo  chini ya mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa kuhamia chama hicho. Leo ameibuka na kusema  ya moyoni kuwa amejivua uanachama  rasmi wa chama cha Chadema pamoja na Ukatibu Mkuuu wa Chama cha...

 

9 years ago

Michuzi

SIMU TV: Rais Kikwete Azindua Jengo la Kuhifadhia Madawa la Hospitali ya CCBRT jijini Dar es salaam, na habari zingine


Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aonya wasimamizi wa uchaguzi mkoani humo kuzingatia na kufuata sheria katika zoezi la kupiga kura kuepusha vurugu.https://youtu.be/E4PqPs6h9uY
Mgombea uraisi wa Zanzibar Dr.Shein aahidi kupandisha bei ya zao la karafuu endapo atachaguliwa ili kuinua kipato cha wakulima. https://youtu.be/hlUp7Y0XU1c
Mgombea mwenza wa uraisi aahidi kutatua na kuondoa migogoro ya ardhi mkoani Simiyu kufuatia kukithiri kwa migogoro mkoani humo. https://youtu.be/AA3y7T9r0kk
Raisi...

 

9 years ago

Michuzi

SIMU TV: HABARI ZA USIKU WA LEO

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

Usikose usiku wa ‘Stara Fashion Show’ leo ukumbi wa City garden jijini Dar es salaam

Ni usiku wa ‘Stara Fashion Show’ ambayo inategemea kufanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 13 June 2015. Hivyo hupaswi kukosa show hiyo kwani Mama wa mitindo alimaarufu kwa Jina la Asya Idorous Khamsin ataipamba Fashion Show hiyo kwa mitupia ya hatari, Itakuwa ni mapema sana kuanzia saa moja jioni Katika Ukumbi wa City Garden ni onyesho la kipekee lenye mavazi ya heshima tofauti na jinsi ambavyo umezoe kuona Fashion Show zingine.
Usiku huo umeandaliwa na Kampuni ya ‘Jast Tanzania Limited’ chini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani