Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa kuvunja ukimya leo

WAKATI vyama vinavyounda umoja wa upinzani (Ukawa) vikimaliza utata wa ugawaji wa majimbo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa leo atavunja ukimya kuhusu hatima yake ya kisiasa kwa kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Slaa kuvunja ukimya Dar leo

Baada ya kimya cha zaidi ya mwezi mmoja na kutoonekana hadharani, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa anatarajia kuzungumza na vyombo vya habari leo nane mchana jijini hapa.

 

9 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo

baby boy

Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.

baby boy

Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.

“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Utamaduni unatufanya tushindwe kuvunja ukimya

‘Vunja ukimya’ ndiyo kauli tunazozisikia siku hizi kwenye vigenge vya mazungumzo, kwenye vyombo vya habari na maeneo kadha wa kadha ambayo yana mikusanyiko ya watu.

 

9 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego kuvunja ukimya na ‘Nyumbani Kwetu’

nnnay

Rapper Nay wa Mitego amesema anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nyumbani Kwetu’ ambapo amedai watu watashangaa jinsi alivyobadilika kwenye uimbaji.

Nay wa Mitego

Nay amedai kuwa wimbo huo utatoka ukiwa pamoja na video.

“Wimbo unaitwa Nyumbani Kwetu, kwani muziki fulani wa tofauti ambao sijawahi kufanya. Pia hii ni surprise kwa mashabiki wangu wote ambao wanapenda muziki wangu na sidhani kama kuna mtu aliwahi kufikiria kama nitafanya muziki wa aina hii,” rapper huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo...

 

9 years ago

Bongo5

JCB kuvunja ukimya na ‘Turu Juu Ya Ngeu’

Mwana Hip Hop kutoka Watengwa, JCB anatarajia kuachia wimbo wake mpya kutoka kwenye album yake, ‘Turu Juu Ya Ngeu’ iliyotenezwa nchini Ufaransa. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, JCB alisema wimbo utakaotoka pamoja na video amemshirikisha rapper wa Watengwa Dishwaa. “Watengwa Records tuna rudi upya katika television yako na kwenye redio […]

 

9 years ago

Bongo5

Nemo kuvunja ukimya kwa kuachia ‘Hero’ hivi karibuni

Msanii wa R&B, Nemo anatarajia kuuvunja ukimya wake kwa kuachia wimbo mpya hivi karibuni. Nemo aliyewahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Number One’ na ‘Wife’ amesema wimbo wake mpya Hero umetayarishwa na Man Walter katika studio za Combination Sounds. “Kimya kina mshindo niko na mwanangu Man Walter tuko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha wimbo […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Stella Mwangi (STL) wa Kenya ‘achukua hatua’ ya kuvunja ukimya

Rapper wa Kenya Stella “STL” Mwangi amechukua hatua ya kuachia wimbo mpya baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. STL ambaye makazi yake ya muda mrefu ni Norway, ameachia wimbo mpya uitwao ‘Chukua Hatua’ uliotoka pamoja na video yake. STL amewahi kufanya vizuri na nyimbo kama Lookie Lookie, Haba Haba, Biashara, Stella Stella Stella na […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Wapinzani hawataki kuvunja Muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kufahamu kuwa hakuna chama cha upinzani chenye lengo la kuvunja Muungano. Alisema maneno yanayoelezwa na wafuasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani