Slaa kuvunja ukimya leo
WAKATI vyama vinavyounda umoja wa upinzani (Ukawa) vikimaliza utata wa ugawaji wa majimbo, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa leo atavunja ukimya kuhusu hatima yake ya kisiasa kwa kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Dk Slaa kuvunja ukimya Dar leo
9 years ago
Michuzi01 Sep
SIMU TV: HABARI ZA USIKU WA LEO - DR SLAA KUVUNJA UKIMYA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
Bongo504 Dec
Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo
![baby boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/baby-boy-300x194.jpg)
Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.
Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.
“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Utamaduni unatufanya tushindwe kuvunja ukimya
9 years ago
Bongo512 Nov
Nay wa Mitego kuvunja ukimya na ‘Nyumbani Kwetu’
![nnnay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/nnnay-300x194.jpg)
Rapper Nay wa Mitego amesema anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nyumbani Kwetu’ ambapo amedai watu watashangaa jinsi alivyobadilika kwenye uimbaji.
Nay amedai kuwa wimbo huo utatoka ukiwa pamoja na video.
“Wimbo unaitwa Nyumbani Kwetu, kwani muziki fulani wa tofauti ambao sijawahi kufanya. Pia hii ni surprise kwa mashabiki wangu wote ambao wanapenda muziki wangu na sidhani kama kuna mtu aliwahi kufikiria kama nitafanya muziki wa aina hii,” rapper huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo...
9 years ago
Bongo522 Oct
JCB kuvunja ukimya na ‘Turu Juu Ya Ngeu’
9 years ago
Bongo526 Aug
Nemo kuvunja ukimya kwa kuachia ‘Hero’ hivi karibuni
9 years ago
Bongo517 Sep
Video: Stella Mwangi (STL) wa Kenya ‘achukua hatua’ ya kuvunja ukimya
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Dk. Slaa: Wapinzani hawataki kuvunja Muungano
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kufahamu kuwa hakuna chama cha upinzani chenye lengo la kuvunja Muungano. Alisema maneno yanayoelezwa na wafuasi...