Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nay wa Mitego kuvunja ukimya na ‘Nyumbani Kwetu’

nnnay

Rapper Nay wa Mitego amesema anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Nyumbani Kwetu’ ambapo amedai watu watashangaa jinsi alivyobadilika kwenye uimbaji.

Nay wa Mitego

Nay amedai kuwa wimbo huo utatoka ukiwa pamoja na video.

“Wimbo unaitwa Nyumbani Kwetu, kwani muziki fulani wa tofauti ambao sijawahi kufanya. Pia hii ni surprise kwa mashabiki wangu wote ambao wanapenda muziki wangu na sidhani kama kuna mtu aliwahi kufikiria kama nitafanya muziki wa aina hii,” rapper huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Nay Wa Mitego – Nyumbani Kwetu

nay

Video mpya ya Msanii wa bongo fleva Nay Wa Mitego wimbo unaitwa “Nyumbani Kwetu”. Video imetayarishwa na Director Joowzey.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NAY WA MITEGO - NYUMBANI KWETU (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nay Wamitego – Nyumbani Kwetu

artist_2690c5fcd530b37ad67025b104cec8a59c8

Huu ni wimbo mpya wa Nay Wamitego ambao una maadhi ya mchiriku unaitwa “Nyumbani Kwetu”. Producer Mr T Touch.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo

baby boy

Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.

baby boy

Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.

“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za mahaba za Nay Wa Mitego zazua balaa, ‘mkewe’ aondoka na mtoto nyumbani

Zile picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo,Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Edson ambaye baada ya kuziona aliamua kumchukua mtoto wake na kuondoka nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Kimara,jijini Dar.Siwema akizungumza na Soudy Brown kupitia Uheard alisema kuwa alipata mshtuko mkubwa sana baada ya kuziona picha hizo ambapo aliamua kuondoka nyumbani na mtoto wake mdogo.‘’Kiukweli zile picha zilinishtua sana nilimuuliza Nay akaniambia ni...

 

10 years ago

Bongo5

Behind The Scenes: Utengenezaji wa video ya Nay Wa Mitego ‘Mr Nay’ nchini Kenya

Nay Wa Mitego ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania walioamua kwenda kufanya video nje mwaka huu, na hii ikiwa ni mara yake ya pili kufanyia video nchini Kenya. Hii ni video ya behind the scenes ya wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Mr Nay’ iliyofanyika Nairobi, Kenya wiki chache zilizopita na kuongozwa na director Kevin […]

 

10 years ago

Bongo5

Usichokifahamu kuhusu ‘concept’ ya video mpya ya Nay wa Mitego ‘Mr Nay’

Kwa mtu ambaye tayari ameiona video mpya ya Nay Wa Mitego, ‘Mr Nay’ huenda swali la kwanza ambalo atajiuliza mara baada ya kuitazama au akipata nafasi ya kukutana na Nay atamuuliza ni ‘hiyo concept ya video, zile damu damu na ‘mask’ za kutisha, minyororo na hizo sign zote zina maana gani?’ Mara nyingi au mara […]

 

9 years ago

Bongo5

Chagga Barbie ndiye ameziba nafasi ya Shamsa Ford kwa Nay Wa Mitego? Nay azungumza

Chagga na Nay

Jimbo la mapenzi la Nay Wa Mitego liko wazi toka aachane na aliyekuwa cousin mpenzi wake Shamsa Ford, lakini swali ni kwamba ni mrembo gani aliyerithi nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Shamsa ambayo huenda kuna warembo wengi wanaitamani?

Chagga na Nay

Kama unamfatilia Nay Wa Mitego kwenye akunti yake ya Instagram sina shaka utakuwa umeanza kuona dalili za kuwa kuna mpenzi mpya ‘mteule’ anayesubiri ‘kuapishwa’ na kuwa rasmi.

Chagga Barbie sio jina geni, ndio yule aliyezitawala headlines nyingi alipokuwa...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani