PICHA: Hivi Ndivyo Alivyoamka Leo Wema Sepetu
Mrembo na mwigizaji wa filamu wakike anaependawa na wengi hapa Bongo, Wema Sepetu kwa mara ya kwanza mwaka huu ametupia picha zake alizopigigwa na moja kati ya wapigapicha mahili hapa nchini ajulikanae kama Albert Manifester.
Mwanadada Wema kupitia ukurasa wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM, leo hasubuhi kabisa alizibandika picha hizo na kuwataja na kuwashukuru wote waliofanikisha picha hizo kuwa katika ubora mzuri kiasi hiki.
"I woke up like this..... Picture by son @albertmanifester...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 May
10 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!
Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/qx5xOHBYBAQ/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/0W9-px9uscE/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BfDjNv4kEvw/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM30 Sep