Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

It’s All Love: Wema Sepetu na Penny wafanya shopping pamoja (Picha)

Walikuwa marafiki wa damu, wakaja kuwa maadui.. na sasa ni marafiki tena. Baada ya kupatanishwa kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Junaithar siku kadhaa zilizopita, Wema Sepetu na Penny Mungilwa wameendelea kuuimarisha zaidi urafiki wao. Penny na Wema Penny ameshare picha kwenye Instagram akiwa pamoja na Miss Tanzania huyo wa zamani ambayo Wema pia ameirepost kwenye […]

 

11 years ago

Bongo Movies

Wema na kajala wamaliza tofauti zao.

Habari mpya kama sio njema ni kuwa Wema Sepetu na Kajala Masanja wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘beef’ lao lilichukua week kibao sasa. Kwa mujibu wa taarifa mpya mitandaoni ni kuwa mastaa hao wawili ambao waliwahi kuwa mashosti wakubwa walimaliza ‘beef’ lao katika sherehe ya kibao kata cha mwandishi wa magazeti ya Globalpublishers anayeitwa Imelda Mtema.

 

 Katika tukio hilo mastaa kibao walihudhuria akiwemo Aunty Ezekiel ambaye kwasasa amekuwa karibu zaidi na Wema Sepetu. Nae...

 

10 years ago

Bongo5

Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja

Habari njema kwa mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa hatimaye wanamuziki nguli wa Bongo fleva, Aboubakar Shaaban Katwila a.k.a Q-Chillah na Khalid Mohamed a.k.a Tid Mnyama wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu. Tid na Q Chief walipokuwa kwenye kipindi cha XXL Wasanii hao ambao waliwahi kufanya kazi pamoja katika Top Band ya Tid kabla […]

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN WAKIFANYA SHOPPING PAMOJA KWENYE SUPER MARKET

Wema Sepetu akiwa na mshindi wa big brother Idrisa Sultan maeneo ya shopping pamoja maswali ya mjini. Hapa chini picha zaidi 

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!

Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project  flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.

Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.

Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja

Miaka michache iliyopita rapper Drake na Chris Brown walikua ni maadui wasiopikika chungu kimoja kutokana na penzi la mtoto Rihanna ambaye amewahi kuwa mpenzi wa kila mmoja wao. Picha mpya inayowaonesha Drake na Chris Brown wakiwa studio ni kiashirio tosha cha kumalizika kwa beef yao iliyopelekea ugomvi uliotokea kwenye club moja mwaka 2012. Kwa mujibu […]

 

11 years ago

CloudsFM

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani