Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASOGANGE SIRUDI BONGO HIVI KARIBUNI!

Stori: Imelda Mtema
MREMBO aliyejizolea umaarufu katika video mbalimbali za wasanii Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hatarajii kurejea nyumbani hivyo mashabiki wake watamsubiri sana. Staa wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’. Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu, Masogange alisema kuwa alivyoondoka nchini na kuelekea Afrika Kusini ameona baadhi ya vitu vyake vinamuendea sawa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Bongo Dar-Es-Salaam ya Dude Kurudi Tena Hivi Karibuni!!

Kipindi  cha mchezo wa maigizo cha  Bongo Dar es Salaam kilichojizolea mashabiki na watazamaji wengi kinalejea tena hivi karibuni baada ya kusimama kwa  zaidi ya miaka mitatu.

Mwigizaji Kulwa Kikumba “Dude” ambae ni muigizaji mkuu na mmiliki wa kipindi hicho amewadokeza mashabiki wake mtandaono na kuwa kipindi kitakuwa hewani hivi karibuni na kuweka baadhi ya picha akiwa lokesheni wakifanya kazi huku akimtaja  muigizaji Haji Adam kuwa ni moja ya staa atakaefanya nae kazi.

Bila shaka wengi...

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI

Staa wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh. Lagos, Nigeria
STAA wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh, 29, amevunja ukimya baada ya kusema ataolewa hivi karibuni na mchumba wake, Churchill Olakunke Oladunni a.k.a Mr. X ambaye ni mfanyabiashara. Staa wa filamu za Kinigeria, Tonto Dikeh akiwa na mpenzi wake Churchill Olakunke Oladunni a.k.a Mr. X.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa tayari mume huyo mtarajiwa… ...

 

10 years ago

Michuzi

Kampeni ya #KuraDili2015 kuaza hivi karibuni

 Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya sambamba na wadau katika tasnia hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bi. Rose Malo na Adam Anthony mwakilishi toka OSIEA (walioketi) mara baada ya warsha fupi kwa wasanii hao juu ya umuhimu wa Sanaa ya muziki katika kuhamasisha Wananchi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura, kupitia Kampeni yake ya #KuraDili2015. Kampeni hiyo itawawezesha wasanii hao kutunga Wimbo Maalum wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya Kuyaanika Maisha Yake Hivi Karibuni

Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema anajiandaa kuweka wazi historia yake ya maisha maana kuna watu wanapotosha mashabiki wake kwa taarifa za uongo ambazo hazina uhusiano na maisha yake halisi.

Uwoya amesema atafanya hivyo kwa kuwa anataka mashabiki wake waelewe maisha yake halisi na wawapuuze wanaompakazia kwa historia za ajabu zenye lengo la kumchafua na kumrudisha nyuma katika kazi zake na uhusiano wake wa kimapenzi.

“Nitayaanika maisha yangu halisi ili wote wanielewe vema na...

 

10 years ago

Michuzi

vitabu nilivyonunua hivi karibuni - Prof Mbele

Na Profesa Mbele
Napenda kuendelea na jadi yangu ya kuvitaja vitabu nilivyoongeza katika maktaba yangu katika siku chache zilizopita. 

Kitabu kimoja ni The Poetic Edda: Stories of the Norse Gods and Heroes,kilichotafsiriwa na Jackson Crowford. The Poetic Edda ni kitabu maarufu sana ambacho nimekisikia kwa miaka mingi. Ni mkusanyo wa hadithi na mashairi ya mapokeo juu ya miungu na mashujaa wa Iceland.

Nimeamua kujipatia nakala wakati huu ambapo nimekuwa nafundisha utungo maarufu wa Finland...

 

11 years ago

Michuzi

MGAHAWA WA KISASA KUFUNGULIWA HIVI KARIBUNI WASHINGTON DC

NAFASI ZA KAZI KUTANGAZWA SOON, TEGA SIKIO COOKS SERVERS BUSBOYS MANAGER GET YOUR RESUME READY THE BEST EAST AFRICAN CUISINE IN NORTH AMERICA

 

9 years ago

Michuzi

RELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI

 Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kuchukua hatua kubwa kuanza  kufufua reli ya kati muda wowote, ujenzi wa reli hiyo utaanza ili kuongeza kasi ya maendeleo  hapa nchini leo Jiji Dar es Salaam.Waandishi wa habari walio hudhulia  katika mkutano na Waziri wa Uchukuzi Samwel Sitta, wakimsikiliza kwa makini. (Picha na Emmanuel Mssaka.
Na JenikisaNdile –Maelezo

SERIKALI  kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wauwa 100 hivi karibuni

Ripoti kutoka Nigeria zasema Boko Haram wauwa watu wengi katika jimbo la Borno

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani