Kampeni ya #KuraDili2015 kuaza hivi karibuni
![](http://3.bp.blogspot.com/-HMhJg9wh6js/VXcJsSisOBI/AAAAAAAHdY8/uPC4wTw-zFA/s72-c/20150609040915.jpg)
Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya sambamba na wadau katika tasnia hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bi. Rose Malo na Adam Anthony mwakilishi toka OSIEA (walioketi) mara baada ya warsha fupi kwa wasanii hao juu ya umuhimu wa Sanaa ya muziki katika kuhamasisha Wananchi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura, kupitia Kampeni yake ya #KuraDili2015. Kampeni hiyo itawawezesha wasanii hao kutunga Wimbo Maalum wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoOxdohUuXXkHVhuJHDpXO9BJOu07wiST1nS7ncl8NJG1-WQ7*XnASDa7yLy0P0eBYnDvUnmj1dGeg6Axnuw-Fw/tono.jpg?width=650)
TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6aq347ylup3Q4mV6LDTORPMdK7Y9*sG9cMeuwrrV0SFiX4lQGKc459axZAaskQlvPgKgtsczOa3NhPXln4tZk/masogandsitti.gif?width=650)
MASOGANGE SIRUDI BONGO HIVI KARIBUNI!
10 years ago
Michuzivitabu nilivyonunua hivi karibuni - Prof Mbele
Napenda kuendelea na jadi yangu ya kuvitaja vitabu nilivyoongeza katika maktaba yangu katika siku chache zilizopita.
Kitabu kimoja ni The Poetic Edda: Stories of the Norse Gods and Heroes,kilichotafsiriwa na Jackson Crowford. The Poetic Edda ni kitabu maarufu sana ambacho nimekisikia kwa miaka mingi. Ni mkusanyo wa hadithi na mashairi ya mapokeo juu ya miungu na mashujaa wa Iceland.
Nimeamua kujipatia nakala wakati huu ambapo nimekuwa nafundisha utungo maarufu wa Finland...
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Boko Haram wauwa 100 hivi karibuni
9 years ago
MichuziRELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI
Na JenikisaNdile –MaelezoSERIKALI kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mTIJF6VPA2g/Ux8d5olU0sI/AAAAAAAANG8/lPo3_1WYyOc/s72-c/SAFARI24.jpg)
MGAHAWA WA KISASA KUFUNGULIWA HIVI KARIBUNI WASHINGTON DC
![](http://4.bp.blogspot.com/-mTIJF6VPA2g/Ux8d5olU0sI/AAAAAAAANG8/lPo3_1WYyOc/s1600/SAFARI24.jpg)
10 years ago
CloudsFM22 Dec
NUH MZIWANDA KUMUOA SHILOLE HIVI KARIBUNI
Baada ya kumvisha pete mchumba wake Shilole siku ya birthday yake,msanii Nuh Mziwanda amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa atamuoa mchumba wake huyo.
''Kumvisha pete mchumba wangu ni hatua kubwa na mama yangu alianiambia nikimvisha pete mchumba wangu nisikae muda mrefu na nifunge naye ndoa kwahiyo nafuata ushauri wa mama na nitamuoa Shishi muda si mrefu,''alisema Nuh Mziwanda.