vitabu nilivyonunua hivi karibuni - Prof Mbele
Na Profesa Mbele
Napenda kuendelea na jadi yangu ya kuvitaja vitabu nilivyoongeza katika maktaba yangu katika siku chache zilizopita.
Kitabu kimoja ni The Poetic Edda: Stories of the Norse Gods and Heroes,kilichotafsiriwa na Jackson Crowford. The Poetic Edda ni kitabu maarufu sana ambacho nimekisikia kwa miaka mingi. Ni mkusanyo wa hadithi na mashairi ya mapokeo juu ya miungu na mashujaa wa Iceland.
Nimeamua kujipatia nakala wakati huu ambapo nimekuwa nafundisha utungo maarufu wa Finland...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziPROF. OLE GABRIEL AVIPONGEZA VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI KUBWA WALIYOIFANYA YA KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI
Vyombo vya habari nchini vimepongezwa kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kutoa taarifa kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka huu.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiongea na viongozi wa menejimenti ya wizara na taasisi zake kwenye kikao cha kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Prof. Gabriel alisema kipindi cha uchaguzi vyombo...
10 years ago
Bongo Movies01 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoOxdohUuXXkHVhuJHDpXO9BJOu07wiST1nS7ncl8NJG1-WQ7*XnASDa7yLy0P0eBYnDvUnmj1dGeg6Axnuw-Fw/tono.jpg?width=650)
TONTO DIKEH KUOLEWA HIVI KARIBUNI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HMhJg9wh6js/VXcJsSisOBI/AAAAAAAHdY8/uPC4wTw-zFA/s72-c/20150609040915.jpg)
Kampeni ya #KuraDili2015 kuaza hivi karibuni
![](http://3.bp.blogspot.com/-HMhJg9wh6js/VXcJsSisOBI/AAAAAAAHdY8/uPC4wTw-zFA/s640/20150609040915.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6aq347ylup3Q4mV6LDTORPMdK7Y9*sG9cMeuwrrV0SFiX4lQGKc459axZAaskQlvPgKgtsczOa3NhPXln4tZk/masogandsitti.gif?width=650)
MASOGANGE SIRUDI BONGO HIVI KARIBUNI!
10 years ago
CloudsFM22 Dec
NUH MZIWANDA KUMUOA SHILOLE HIVI KARIBUNI
Baada ya kumvisha pete mchumba wake Shilole siku ya birthday yake,msanii Nuh Mziwanda amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa atamuoa mchumba wake huyo.
''Kumvisha pete mchumba wangu ni hatua kubwa na mama yangu alianiambia nikimvisha pete mchumba wangu nisikae muda mrefu na nifunge naye ndoa kwahiyo nafuata ushauri wa mama na nitamuoa Shishi muda si mrefu,''alisema Nuh Mziwanda.
9 years ago
MichuziRELI YA KATI KUANZA KARABATIWA HIVI KARIBUNI
Na JenikisaNdile –MaelezoSERIKALI kwa kushirikiana na kampuni ya reli Asset holding imejizatiti kuimarisha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mTIJF6VPA2g/Ux8d5olU0sI/AAAAAAAANG8/lPo3_1WYyOc/s72-c/SAFARI24.jpg)
MGAHAWA WA KISASA KUFUNGULIWA HIVI KARIBUNI WASHINGTON DC
![](http://4.bp.blogspot.com/-mTIJF6VPA2g/Ux8d5olU0sI/AAAAAAAANG8/lPo3_1WYyOc/s1600/SAFARI24.jpg)
10 years ago
Bongo Movies06 May
Uwoya Kuyaanika Maisha Yake Hivi Karibuni
Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema anajiandaa kuweka wazi historia yake ya maisha maana kuna watu wanapotosha mashabiki wake kwa taarifa za uongo ambazo hazina uhusiano na maisha yake halisi.
Uwoya amesema atafanya hivyo kwa kuwa anataka mashabiki wake waelewe maisha yake halisi na wawapuuze wanaompakazia kwa historia za ajabu zenye lengo la kumchafua na kumrudisha nyuma katika kazi zake na uhusiano wake wa kimapenzi.
“Nitayaanika maisha yangu halisi ili wote wanielewe vema na...