Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PoaApp hivi karibuni itakua kwenye simu yako

magazine-artworka3

“PoaApp” ni application mpya ya kitanzania itakayokujia hivi karibuni kwenye simu yako. Kama mtumiaji, utakuwa na uwezo wa kuchati na marafiki zako na ndugu, kusikiliza nyimbo uzipendazo na utaweza kupata habari za kitaifa na kimataifa;vitu hivi utavipata bure kutoka “PoaApp”.

Kwa habari zaidi kutoka “PoaApp’’ tafadhali fuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kama;

*Facebook.com/PoaApp

*Twitter:@PoaApp

*Instagram:@PoaApp

Pia waweza kutembelea website yetu ya www.poaapp.co.tz ili uweze...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Muulize MO!: Tuandikie maswali yako kumuuliza Mohammed Dewji (CEO wa MeTL Group) tutakuwa na mahojiano naye hivi karibuni

mo

Msomaji na mdau wa mtandao wako wa habari www.modewjiblog.com unakupa nafasi wewe kumuuliza maswali/swali lolote lile Mkurugenzi Mkuu wa MeTL Group, Mohammed Dewji. Maswali yote yatajibiwa na kutolewa ufafanuzi wa kina. Tutakuwa na mahojiano naye karibuni. Asanteni sana.

Utaratibu wa kumuuliza maswali ni kwa kukomenti kwenye post hii kisanduku cha maoni, Zingatia Kanuni na sheria ikiwemo kutotumia lugha zisizo rasmi.

Pia waweza kutoa maoni yako kupitia kurasa za mitandao ya kijamii ukiwemo...

 

9 years ago

Bongo5

Fastjet kuibukia kwenye soko la Kenya hivi karibuni baada ya kupata leseni

Nimepokea habari kwa furaha kubwa kama walivyo wasafiri wengi wa kwenda Nairobi au kuja Dar es Salaam kutokea Nairobi na miji mingine nchini humo. Kwa muda mrefu kampuni hiyo ya ndege yenye bei nafuu iliyoweza kufanya mapinduzi ya usafiri wa anga, imekuwa ikihangaikia kuingia soko la Kenya bila mafanikio lakini kwa habari ambazo zimeanza kuzagaa […]

 

10 years ago

TZToday

TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako

Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.

TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.

Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika

m.tanzaniatoday.co.tz

sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.

 

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako

Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?

20150918_143620

Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.

Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android

Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.

Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa...

 

10 years ago

Michuzi

Download App Ya Mjengwablog Upate Mengi Kwenye Simu Yako...!

Matukio mbalimbali, Habari za magazetini, Uchambuzi wa Habari, picha, burudani na kusikiliza live Kwanza Jamii  Radio.. http://mjengwablog.com

 

10 years ago

Michuzi

MAGAZETI, MAJARIDA NA VITABU VYOTE KWENYE SIMU YAKO YA MKONONI.


Je umekwishawahi kukwama kwenye foleni ukajutia kutobeba gazeti walau likusaidie kusogeza muda mbele? Je umekwisha wahi kutafuta chanzo cha habari za uhakika kwenye simu yako ukakikosa?
Je umekwishawahi kuambiwa kuna tangazo la kazi au tenda ila ukashindwa kuliona kwa vile lipo kwenye gazeti la siku za nyuma? Je umeshawahi kulazimika kuchoma au kutupa magazeti ya siku za nyuma kwa sababu yamejaa sana nyumbani kwako? Au je umeshawahi kuhisi kuna umuhimu wa kuona watoto wako wanachojifunza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani