Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Download App Ya Mjengwablog Upate Mengi Kwenye Simu Yako...!

Matukio mbalimbali, Habari za magazetini, Uchambuzi wa Habari, picha, burudani na kusikiliza live Kwanza Jamii  Radio.. http://mjengwablog.com

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Ongeza Salio kwenye akaunti yako ya Meridianbet kwa Airtel Money na Upate zaidi

Kwa Meridianbet, muamala wako una thamani kuliko wakati wowote! Ongeza salio kwenye akaunti yako ya Meridianbet.co.tz kwa Airtel Money na upate ushindi mkubwa unapoanza tu kubashiri online kwa kupata 5% ya bonasi kwa kila muamala wa kuweka pesa.
Ukiwa na Meridianbet, ofa hii mpya kabisa inamaanisha sasa unaweza kuweka pesa kwenye akaunti yako kwa kupitia Airtel Money. Haijawahi kuwa rahisi hivi na kuweka pesa kunaweza kukamilika kwa kufuata hatua chache tu.
Kuweka pesa kwenye akaunti, Piga...

 

10 years ago

TZToday

TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako

Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.

TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.

Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika

m.tanzaniatoday.co.tz

sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.

 

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako

Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?

20150918_143620

Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.

Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...

 

9 years ago

Dewji Blog

PoaApp hivi karibuni itakua kwenye simu yako

magazine-artworka3

“PoaApp” ni application mpya ya kitanzania itakayokujia hivi karibuni kwenye simu yako. Kama mtumiaji, utakuwa na uwezo wa kuchati na marafiki zako na ndugu, kusikiliza nyimbo uzipendazo na utaweza kupata habari za kitaifa na kimataifa;vitu hivi utavipata bure kutoka “PoaApp”.

Kwa habari zaidi kutoka “PoaApp’’ tafadhali fuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kama;

*Facebook.com/PoaApp

*Twitter:@PoaApp

*Instagram:@PoaApp

Pia waweza kutembelea website yetu ya www.poaapp.co.tz ili uweze...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android

Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.

Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa...

 

10 years ago

Michuzi

MAGAZETI, MAJARIDA NA VITABU VYOTE KWENYE SIMU YAKO YA MKONONI.


Je umekwishawahi kukwama kwenye foleni ukajutia kutobeba gazeti walau likusaidie kusogeza muda mbele? Je umekwisha wahi kutafuta chanzo cha habari za uhakika kwenye simu yako ukakikosa?
Je umekwishawahi kuambiwa kuna tangazo la kazi au tenda ila ukashindwa kuliona kwa vile lipo kwenye gazeti la siku za nyuma? Je umeshawahi kulazimika kuchoma au kutupa magazeti ya siku za nyuma kwa sababu yamejaa sana nyumbani kwako? Au je umeshawahi kuhisi kuna umuhimu wa kuona watoto wako wanachojifunza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani