MAGAZETI, MAJARIDA NA VITABU VYOTE KWENYE SIMU YAKO YA MKONONI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1mzJk3unQ_Q/VbdFp9eVb6I/AAAAAAAC9Bo/cDvvD9kqStk/s72-c/mPaper%2B1.png)
Je umekwishawahi kukwama kwenye foleni ukajutia kutobeba gazeti walau likusaidie kusogeza muda mbele? Je umekwisha wahi kutafuta chanzo cha habari za uhakika kwenye simu yako ukakikosa?
Je umekwishawahi kuambiwa kuna tangazo la kazi au tenda ila ukashindwa kuliona kwa vile lipo kwenye gazeti la siku za nyuma? Je umeshawahi kulazimika kuchoma au kutupa magazeti ya siku za nyuma kwa sababu yamejaa sana nyumbani kwako? Au je umeshawahi kuhisi kuna umuhimu wa kuona watoto wako wanachojifunza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Cheki list ya vipindi vyako vyote vikali kwenye simu yako na Tenbre Star Times!
Ukishamaliza kudownload app ya Tenbre Star Times, kuangalia orodha ya vipindi vinayo ruka kwa siku hiyo, ni rahisi sana!
1. Kwenye app yako ya tembre, bonyeza kitufe cha menu (nyekundu) juu kushoto kwenye screen ya simu yako. Hii itakuletea orodha yenye baadhi ya vitu kuchagua. Bofya “Channel Guide”.
2. Sasa utaona orodha kama hii ya kwanza. Ukiscroll chini utaona orodha ya chaneli zilizopo.
3. Chagua chaneli unayotaka na orodha ya vipindi vinavyoruka kwa siku hiyo ita tokezea.
Kwa...
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ijue vizuri simu yako ya mkononi
Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.
Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-svKbTDuk1pk/U2dMpi1cn1I/AAAAAAAFflY/k7YvchvA_5M/s72-c/unnamed+(1).png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfTkOMqXv4o9Wn6K6U1g7wq00SkXWghWl6atBDnc9bksyezqWe*gZYrwITKspcOzEjGeEBkmAKymDPR5WWfmj83/vodacom.jpg?width=650)
11 years ago
MichuziVodacom yawaunganisha Buhigwe kwenye mtandao wa simu za mkononi
11 years ago
GPLVODACOM YAWAUNGANISHA BUHINGWE KWENYE MTANDAO WA SIMU ZA MKONONI
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Wateja wa Tigo sasa wanaweza kufurahia nyimbo millioni 36 kwenye simu zao za mkononi za smartphones
Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato kwa kusikilizwa nyimbo zao kupitia simu za mkononi, pia itaambatana na tamasha kubwa litakalofanyika tarehe 24 mwezi huu viwanja vya Leaders Kinondoni.
Tigo Tanzania imetangaza uzinduzi wa Muziki wa Tigo ujulikanao kama “Tigo Music” kwa kushirikiana na Deezer, ambayo ni huduma ya kimataifa...
10 years ago
TZToday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/in-tz.png)
TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako
Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.
TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.
Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika m.tanzaniatoday.co.tz
sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.