Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGAZETI, MAJARIDA NA VITABU VYOTE KWENYE SIMU YAKO YA MKONONI.


Je umekwishawahi kukwama kwenye foleni ukajutia kutobeba gazeti walau likusaidie kusogeza muda mbele? Je umekwisha wahi kutafuta chanzo cha habari za uhakika kwenye simu yako ukakikosa?
Je umekwishawahi kuambiwa kuna tangazo la kazi au tenda ila ukashindwa kuliona kwa vile lipo kwenye gazeti la siku za nyuma? Je umeshawahi kulazimika kuchoma au kutupa magazeti ya siku za nyuma kwa sababu yamejaa sana nyumbani kwako? Au je umeshawahi kuhisi kuna umuhimu wa kuona watoto wako wanachojifunza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Cheki list ya vipindi vyako vyote vikali kwenye simu yako na Tenbre Star Times!

Ukishamaliza kudownload app ya Tenbre Star Times, kuangalia orodha ya vipindi vinayo ruka kwa siku hiyo, ni rahisi sana!

1. Kwenye app yako ya tembre, bonyeza kitufe cha menu (nyekundu) juu kushoto kwenye screen ya simu yako. Hii itakuletea orodha yenye baadhi ya vitu kuchagua. Bofya “Channel Guide”.Screenshot_2015-06-17-11-51-39

Screenshot_2015-06-25-10-06-45

2. Sasa utaona orodha kama hii ya kwanza. Ukiscroll chini utaona orodha ya chaneli zilizopo.

Screenshot_2015-06-25-10-06-38

Screenshot_2015-06-25-14-16-38

Screenshot_2015-06-25-14-16-56

3. Chagua chaneli unayotaka na orodha ya vipindi vinavyoruka kwa siku hiyo ita tokezea.

Screenshot_2015-06-25-14-13-46

Screenshot_2015-06-25-14-43-11

Kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ijue vizuri simu yako ya mkononi

Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.

Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yawaunganisha Buhigwe kwenye mtandao wa simu za mkononi

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Charles Gishuli akiuzindua rasmi mnara wa Vodacom kuashiria kuanza kupatikana huduma za kampuni hiyo ya simu nchini katika kijiji cha Bukuba kilichopo Buhigwe mkoani Kigoma. Pembeni yake ni Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Malcelina Mbehoma na Mwenyekiti wa Halmashauri Abel Kabona. Vodacom inaendeleza mkakati wake wa kuwaunganisha watanzania wa vijijini na huduma za mawasiliano ya simu za...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAWAUNGANISHA BUHINGWE KWENYE MTANDAO WA SIMU ZA MKONONI

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Charles Gishuli akiuzindua rasmi mnara wa Vodacom kuashiria kuanza kupatikana huduma za kampuni hiyo ya simu nchini katika kijiji cha Bukuba kilichopo Buhigwe mkoani Kigoma. Katikati ni Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Abel Kabona. Vodacom inaendeleza mkakati wake wa kuwaunganisha watanzania wa vijijini na huduma za mawasiliano ya simu za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo sasa wanaweza kufurahia nyimbo millioni 36 kwenye simu zao za mkononi za smartphones

FSA_3722

Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato kwa kusikilizwa nyimbo zao kupitia simu za mkononi, pia itaambatana na tamasha kubwa litakalofanyika tarehe 24 mwezi huu viwanja vya Leaders Kinondoni.

Tigo Tanzania imetangaza uzinduzi wa Muziki wa Tigo ujulikanao kama “Tigo Music” kwa kushirikiana na Deezer, ambayo ni huduma ya kimataifa...

 

10 years ago

TZToday

TanzaniaToday : Sasa ipate kwenye simu yako

Pata TanzaniaToday Kwenye Simu yako
Maudhui na Ubora ulele katika mwonekano mpya.

TanzaniaToday Kwenye Simu yako ... ni web app yenye maudhui yote na habari zote zipatikanazo kwenye tovuti yetu , ikiwa imerahisisha kwa ajli ya simu za mkononi.

Itembelee sasa!
Kwa kutumia simu, Andika

m.tanzaniatoday.co.tz

sehemu ya anwani ya browser ya simu yako ya mkononi.

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani