Ijue vizuri simu yako ya mkononi
Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.
Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1mzJk3unQ_Q/VbdFp9eVb6I/AAAAAAAC9Bo/cDvvD9kqStk/s72-c/mPaper%2B1.png)
MAGAZETI, MAJARIDA NA VITABU VYOTE KWENYE SIMU YAKO YA MKONONI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1mzJk3unQ_Q/VbdFp9eVb6I/AAAAAAAC9Bo/cDvvD9kqStk/s640/mPaper%2B1.png)
Je umekwishawahi kukwama kwenye foleni ukajutia kutobeba gazeti walau likusaidie kusogeza muda mbele? Je umekwisha wahi kutafuta chanzo cha habari za uhakika kwenye simu yako ukakikosa?
Je umekwishawahi kuambiwa kuna tangazo la kazi au tenda ila ukashindwa kuliona kwa vile lipo kwenye gazeti la siku za nyuma? Je umeshawahi kulazimika kuchoma au kutupa magazeti ya siku za nyuma kwa sababu yamejaa sana nyumbani kwako? Au je umeshawahi kuhisi kuna umuhimu wa kuona watoto wako wanachojifunza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-svKbTDuk1pk/U2dMpi1cn1I/AAAAAAAFflY/k7YvchvA_5M/s72-c/unnamed+(1).png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfTkOMqXv4o9Wn6K6U1g7wq00SkXWghWl6atBDnc9bksyezqWe*gZYrwITKspcOzEjGeEBkmAKymDPR5WWfmj83/vodacom.jpg?width=650)
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Ijue afya yako -jongo husababishwa na namna tunavyokula -sehemu ya 2
Jumapili iliyopita tuliangalia maradhi ya kuvimba tezi kibofu au tezi dume. Tatizo hili hugeuka saratani baadaye, pia huwakabili wanawake katika kizazi au matiti. Hivyo ni muhimu tunapofikisha miaka 40 kukaguliwa na waganga kuhakikisha viungo viko sawa.
11 years ago
Michuzi14 Apr
msaada tutani: dada uliyepoteza simu JKT unatafutwa upewe simu yako
Nilimsaidia usafiri dada mmoja,siku ya ijumaa wiki jana, Dada huyo alikuwa anatokea maeneo ya Tuangoma kuelekea maeneo ya Keko.Nilimshusha JKT Mgulani. Bahati mbaya alisahau simu yake kwenye gari. Simu hiyo iliishiwa chaji muda mchache baada ya kuisahau kwenye gari langu. Mie nikaichukua na kuiweka kwenye chaji kama masaa mawili hivi.
Nilipoiwasha nilikuta keshafunga kadi yake na sijaweza hata kutafuta namba za watu wanaomjua ili niwasiliane naye. Pia hata jina sikuwahi...
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Simu ya mkononi yaathiri mbegu za wanaume
Utafiti unapendekeza kuwa idadi ya mbegu za uzazi za wanaume huathiriwa kwa kuweka simu za mkononi kwenye mifuko ya suruale
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania