KAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
Meneja Mkazi wa kampuni ya Simu za mkononi, Peter Zhang akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu uzinduzi wa simu mpya ya kisasa ya Huawei P8 katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regence leo Jiji Dar es Salaam.
Mkurungenzi wa Masoko wa Huawei Tanzania Mamson Mjwala akizungumza juu ya ubora wa betri ya simu hiyo aina ya Huawei P8 kwamba mfumo wa simu imezingatia matumizi ya muda mrefu mtumiaji anaweza kutumia simu kwa siku nzima bila kuiongezea umeme huku kwa wale watumiaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hmfSmgOjU5M/VImZ9toFdUI/AAAAAAAG2iY/gy_SKNhiuEo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Huawei yazindua simu mpya aina ya Ascend 6-inch Mate 7 jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-hmfSmgOjU5M/VImZ9toFdUI/AAAAAAAG2iY/gy_SKNhiuEo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--yuY0ycKXPk/VImZ9hoYlUI/AAAAAAAG2ic/I6ujxXcpuSE/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9AysObUt0Sg/VTXf4nhBOvI/AAAAAAAC3Ww/OolL-4D0rcM/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
HUAWEI yazindua simu mpya ya Ascend P8
![](http://4.bp.blogspot.com/-9AysObUt0Sg/VTXf4nhBOvI/AAAAAAAC3Ww/OolL-4D0rcM/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
KAMPUNI nguli sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano ya Huawei imezindua simu mpya aina ya Ascend P8 ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni. Akizungumza kwenye uzinduzi wa simu hiyo kimataifa uliofanyika kwenye jiji la London, Uingereza mwishoni mwa wiki, Afisa Mtendaji Mkuu wa Biashara wa kampuni hiyo, Bw....
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9EEYRmgpRI8/VZZ1-bnWaLI/AAAAAAAAez8/3uB7Qp9PC6g/s72-c/Huawei-P8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Simu mpya ya Huawei P8 yazinduliwa kwenye soko la Tanzania
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Huawei Tanzania, Bw.Samson Majwala akizungumzia ubora wa simu mpya ya Smartphone ya kisasa aina ya Huawei P8 ambayo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni mbele ya jopo la waandishi wa habari pamoja na wadau katika hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency.
Meneja Mkazi anayeshughulikia bidhaa za kampuni ya Huawei Tanzania, Bw. Zhang...
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Huawei P8 ni simu bomba
Katika soko la Tanzania zipo aina mbalimbali lakini kati ya hizo simu ya P8 iliyozinduliwa na kampuni ya Huawei mwaka huu ni moja ya simu bora ambayo ina kiwango cha hali ya juu.
Umbo la simu hii ni la kuvutia kiasi kwamba muda wote ninapokuwa naitumia kwenye kazi zangu najivunia kuwa na kifaa bora cha kisasa kinaconirahisishia kazi zangu za kupiga picha na kuandika habari.
Kinachonivutia zaidi katika simu hii ni kuwa na kamera yenye uwezo wa kurekodi video na kupiga picha zinazotoka kwa...