HUAWEI yazindua simu mpya ya Ascend P8
![](http://4.bp.blogspot.com/-9AysObUt0Sg/VTXf4nhBOvI/AAAAAAAC3Ww/OolL-4D0rcM/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Baadhi ya waandishi walioudhuria uzinduzi wa simu mpya ya Huawei Ascend P8, iliyozinduliwa hivi karibuni jijini London
KAMPUNI nguli sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano ya Huawei imezindua simu mpya aina ya Ascend P8 ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni. Akizungumza kwenye uzinduzi wa simu hiyo kimataifa uliofanyika kwenye jiji la London, Uingereza mwishoni mwa wiki, Afisa Mtendaji Mkuu wa Biashara wa kampuni hiyo, Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hmfSmgOjU5M/VImZ9toFdUI/AAAAAAAG2iY/gy_SKNhiuEo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Huawei yazindua simu mpya aina ya Ascend 6-inch Mate 7 jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-hmfSmgOjU5M/VImZ9toFdUI/AAAAAAAG2iY/gy_SKNhiuEo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--yuY0ycKXPk/VImZ9hoYlUI/AAAAAAAG2ic/I6ujxXcpuSE/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9EEYRmgpRI8/VZZ1-bnWaLI/AAAAAAAAez8/3uB7Qp9PC6g/s72-c/Huawei-P8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Simu mpya ya Huawei P8 yazinduliwa kwenye soko la Tanzania
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Huawei Tanzania, Bw.Samson Majwala akizungumzia ubora wa simu mpya ya Smartphone ya kisasa aina ya Huawei P8 ambayo imezinduliwa leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni mbele ya jopo la waandishi wa habari pamoja na wadau katika hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency.
Meneja Mkazi anayeshughulikia bidhaa za kampuni ya Huawei Tanzania, Bw. Zhang...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Airtel yazindua simu mpya
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel, imetangaza ushirika wake na kampuni kubwa inayotengeneza simu za mkononi aina ya Apple. Airtel imeweka historia kwa kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano...
10 years ago
MichuziZEST YAZINDUA AINA MPYA YA SIMU
Kampuni ya Kimataifa ya Zest imezindua simu mpya zenye huduma zote muhimu kwa bei nafuu.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa simu hizo jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Salum Awadh amesema kuwa simu hizo ambazo ni imara zitauzwa kwa bei nafuu ili kila mtu aweze kununua.
"tumeingiza sokoni simu mpya aina ya 7 Mobile ambazo zina huduma za mitandao ya kijamii ikiwemo Internet, Whatsap pamoja na Facebook huku bei yake ikiwa ni 35,000, aina nyingine ni Tablet...
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Google yazindua huduma mpya ya simu