Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Ukawa imekosa au imepata?

HATIMAYE imetokea.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Michuano ya Kagame imekosa ubunifu

PAZIA la michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati Kagame Cup, lilifungwa mwishoni mwa wi

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Chenge: Serikali imekosa ubunifu

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge amesema Serikali imekosa ubunifu na haitaki kupokea ushauri kuhusiana na vyanzo vipya vya mapato.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imekosa uongozi wa pamoja?

Kwa mshangao mkubwa, tunashuhudia maofisa wa Serikali wakiendelea kutoa kauli zinazokinzana kila kukicha.

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa alivyoingia Ukawa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema.

Ezekiel Kamwaga

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa: Lowassa anaongoza

MMGL1140VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimetoa matokeo ya utafiti uliofanywa sehemu tatu tofauti unaoonyesha mgombea wao wa urais, Edward Lowassa, atapata ushindi wa asilimia 76.

Matokeo ya utafiti huo yalitolewa   Dar es Salaam jana ikiwa ni siku chache tangu   Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Twaweza itoe utafiti wake ambao ulimpa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli ushindi wa asilimia 65 na Lowassa ushindi wa asilimia 25.

Kabla ya Twaweza,  Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

GPL

MAMA LORAA: BONGO MOVIES IMEKOSA BODI YA USHAURI

Deogratius Mongela  
MLEZI wa Klabu ya Bongo Movies, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ amefunguka kuwa matatizo na mifarakano inayotokea ndani ya klabu hiyo ni kutokana na kukosa bodi ya ushauri. Mlezi wa Klabu ya Bongo Movies, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’. Akilonga na Uwazi, Mama Loraa alisema wasanii mbalimbali ambao waliwahi kuiongoza klabu hiyo miaka ya nyuma ndiyo tatizo na kwamba Bongo Movies...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA SASA RASMI UKAWA

Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa (kulia) akiwa na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu wakiwa katika mazungumzo walipokutana hivi karibuni jijini Dar. BAADA ya vuta nikuvute katika vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuhusu kukubaliwa au kutokubaliwa kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa kujiunga na umoja huo, hatimaye mwanasiasa huyo maarufu nchini amekubaliwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 10 kampeni za Lowassa Ukawa

Elimu bure hadi chuo kikuu, kuondoa umaskini, kuondoa ushuru wa mazao, kuweka riba kwa mazao yanayokopwa, ujenzi wa viwanda na kuongeza kasi katika utendaji kazi serikalini, ni mambo yaliyoibuka katika siku 10 za kampeni za mgombea wa Chadema, Edward Lowassa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani