Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali imekosa uongozi wa pamoja?

Kwa mshangao mkubwa, tunashuhudia maofisa wa Serikali wakiendelea kutoa kauli zinazokinzana kila kukicha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chenge: Serikali imekosa ubunifu

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge amesema Serikali imekosa ubunifu na haitaki kupokea ushauri kuhusiana na vyanzo vipya vya mapato.

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

10 years ago

Raia Mwema

Michuano ya Kagame imekosa ubunifu

PAZIA la michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati Kagame Cup, lilifungwa mwishoni mwa wi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa: Ukawa imekosa au imepata?

HATIMAYE imetokea.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

MAMA LORAA: BONGO MOVIES IMEKOSA BODI YA USHAURI

Deogratius Mongela  
MLEZI wa Klabu ya Bongo Movies, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ amefunguka kuwa matatizo na mifarakano inayotokea ndani ya klabu hiyo ni kutokana na kukosa bodi ya ushauri. Mlezi wa Klabu ya Bongo Movies, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’. Akilonga na Uwazi, Mama Loraa alisema wasanii mbalimbali ambao waliwahi kuiongoza klabu hiyo miaka ya nyuma ndiyo tatizo na kwamba Bongo Movies...

 

10 years ago

StarTV

Usimamizi deni la Taifa, Serikali yashauriwa kuanzisha Ofisi ya pamoja.

Na Ephrasia Mawalla,

Dar es Salaam.

 

Mtandao wa Madeni Tanzania umeitaka Serikali kutunga sheria ya kuanzisha Ofisi ya pamoja ya kusimamia deni la taifa ili kuwawezesha watendaji, Serikali na wakopeshaji kudhibiti uhalifu  katika mfumo wa ukopaji na ulipaji wa deni la taifa.

 

Utafiti juu ya deni la taifa umeonyesha kuwa usimamizi wa deni la taifa nchini uko chini ya kamati mbili ambayo wajumbe wake ni maafisa waandamizi kutoka wizara tisa jambo linalochangia udhaifu katika utekelezaji wa...

 

5 years ago

Michuzi

Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja

Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Riek Machar wamesisitiza kuwa wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Jumamosi ya kesho (Februari 22) kama ilivyopangwa.

Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...

 

10 years ago

GPL

UONGOZI WA UMOJA WA WENYEVITI SERIKALI ZA MTAA KUONANA NA RAIS KIKWETE

Mwenyekiti wa Mtaa wa Mtambani 'A' Kata ya Jangwani, Ally Sultan Hamed (katikati), Habiba Mondoma Katibu wa Umoja wa wenyeviti wa serikali za mtaa (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigogo-Mbuyuni, Baraka James wakiwa katika mkutano na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakifuatilia tukio. Baadhi ya wenyeviti wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani