Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja
![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Riek Machar wamesisitiza kuwa wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Jumamosi ya kesho (Februari 22) kama ilivyopangwa.
Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
JK kuwakutanisha mahasimu Sudan Kusini leo
RAIS Jakaya Kikwete leo amewaalika viongozi wakuu wa makundi yanayopingana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar katika meza ya mazungumzo jijini hapa. Mualiko huo umekuja...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
UN: Mahasimu Sudan Kusini wanahodhi silaha
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Mahasimu wa Sudan Kusini wakutana tena
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
IGAD kupatanisha mahasimu Sudan.K
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Mahasimu waombwa kuruhusu misaada S Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mEkpkxbgORc/XlK6tBdl4tI/AAAAAAALe8A/6iKYU7xFAmwHXb6oHxe1xUw-kbmVlqlswCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Hatimaye serikali ya umoja wa kitaifa yaundwa Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-mEkpkxbgORc/XlK6tBdl4tI/AAAAAAALe8A/6iKYU7xFAmwHXb6oHxe1xUw-kbmVlqlswCLcBGAsYHQ/s640/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar na hasimu mkuu wa Rais Salva Kiir jana aliapishwa kuwa makamu wa kwanza wa rais, ikiwa ni uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu.
Uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini umepongezwa kieneo na kimataifa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
UN na IGAD zapongeza uundwaji wa serikali mpya Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-5z08nBj-B2g/XlK6IyAKa0I/AAAAAAALe74/7I4oDmjHkPAM8SimU5vWwZynrMi8ZuyUgCLcBGAsYHQ/s640/4bpu417be2760e1adm7_800C450.jpg)
Filippo Grandi, Kamishna wa UNHCR amesema katika taarifa kuwa, serikali mpya inahuisha matumaini ya amani na mustakabali mzuri kwa watu wa nchi hiyo ambao wameteseka kutokana na mgogoro wa muda mrefu.
Nayo IGAD imeahidi kuendelea kuiunga mkono...