Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja

Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Riek Machar wamesisitiza kuwa wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Jumamosi ya kesho (Februari 22) kama ilivyopangwa.

Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK kuwakutanisha mahasimu Sudan Kusini leo

RAIS Jakaya Kikwete leo amewaalika viongozi wakuu wa makundi yanayopingana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar katika meza ya mazungumzo jijini hapa. Mualiko huo umekuja...

 

9 years ago

BBCSwahili

UN: Mahasimu Sudan Kusini wanahodhi silaha

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeshutumu serikali na waasi nchini Sudan Kusini kwa kuendelea kuhodhi silaha na kukiuka mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi Agosti.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mahasimu wa Sudan Kusini wakutana tena

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yameanza tena katika nchi jirani ya Ethiopia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?

Utekelezwaji wa mkataba wa amani kwa Sudan Kusini ni jambo ambalo limeyumbisha nchi hiyo kwa miaka.

 

11 years ago

BBCSwahili

IGAD kupatanisha mahasimu Sudan.K

Viongozi wa IGAD wanakutana kwa kikao maalum mjini Adis Ababa nchini Ethiopia kujadili mzozo wa kisiasa unaokumba taifa la Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahasimu waombwa kuruhusu misaada S Kusini

Mashirika ya misaada yanayofanyia kazi nchini Sudan kusini yamezitaka pande zinazohasimiana nchini humo kuruhusu misaada

 

5 years ago

Michuzi

Hatimaye serikali ya umoja wa kitaifa yaundwa Sudan Kusini


Hatimaye Serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu huko Sudan Kusini imeundwa baada ya Riek Machar kuapishwa kuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa nchi hiyo.

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar na hasimu mkuu wa Rais Salva Kiir jana aliapishwa kuwa makamu wa kwanza wa rais, ikiwa ni uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu.

Uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini umepongezwa kieneo na kimataifa na...

 

5 years ago

Michuzi

UN na IGAD zapongeza uundwaji wa serikali mpya Sudan Kusini

Jumuiya ya Maendeleo ya Serikali ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD) na Shirika la Kuwahudumia Wakimbizi la Umoja wa Afrika (UNHCR) zimepongeza hatua ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na shauku huko Sudan Kusini.

Filippo Grandi, Kamishna wa UNHCR amesema katika taarifa kuwa, serikali mpya inahuisha matumaini ya amani na mustakabali mzuri kwa watu wa nchi hiyo ambao wameteseka kutokana na mgogoro wa muda mrefu.

Nayo IGAD imeahidi kuendelea kuiunga mkono...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani