Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

KWENDO OPANGA : Salva Kiir, Riek Machar must deal with each other delicately after pact

Uganda’s President Yoweri Museveni gave his South Sudan counterpart Salva Kiir an earful.

 

10 years ago

TheCitizen

Letter to South Sudan’s Dr Riek Machal and Salva Kiir

I hope you are fine, and now you can sleep peacefully after signing a peace agreement in Ngurdoto Tanzania. I salute you. Reaching such a juncture after long time fighting is recommendable and welcome, especially, for the people of South Sudan. I understand. You both, hand-in-hand, fought for the emancipation of your esteemed nation referred to as the youngest nation of the world. Again, your country is young but you are not.  This being the case, your maturity is an asset for the young...

 

5 years ago

BBC

South Sudan rivals Salvaa Kiir and Riek Machar strike unity deal

The deal is intended to end six years of conflict which has killed some 400,000 people.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Kiir kukutana na Riek Machar

Rais Salva Kiir anatarajiwa kukutana na Riek Machar kwa mara ya kwanza tangu watie saini mkataba wa kusitisha vita mwezi uliopita.

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir apunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10

Tangazo la hivi karibuni la rais wa Sudan kusini Salva Kiir kwamba amepunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10 ni tamko ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti ndani na nje ya taifa hilo.

Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais wa zamani Daktari Riek Machar amekaribisha tanganzo hilo la bwana Kiir na kusema ni hatua muhimu katika mchakato wa kuleta amani ya kudumu katika taifa hilo changa duniani ambalo limezongwa na mapigano ya umwakigaji damu ya wenyewe kwa wenyewe.

Siku ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir, Machar kukutana Tanzania

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir na aliyekuwa makamu wake Riek Machar, wanakutana Tanzania kutafuta suluhu ya kisiasa nchini mwao.

 

5 years ago

BBC

Coronavirus: South Sudan's VP Riek Machar contracts Covid-19

Riek Machar, who was part of a taskforce to fight the pandemic, has tested positive for coronavirus.

 

5 years ago

Michuzi

Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja

Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Riek Machar wamesisitiza kuwa wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa kufikia Jumamosi ya kesho (Februari 22) kama ilivyopangwa.

Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...

 

5 years ago

BBC

South Sudan peace talks: Machar and Kiir in deadlock over states

Riek Machar is not satisfied by President Salva Kiir's offer to reduce the number of states.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani