Rais wa Sudan kusini Salva Kiir apunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10
![](https://1.bp.blogspot.com/-xoQXWVIpRpY/XktoH8kC9BI/AAAAAAALd1I/kQKnZTnPAywY5uYag-0CVfIuEkWYRhVIQCLcBGAsYHQ/s72-c/_107994035_a37f7533-7ca0-4c0d-970d-aa214be4a5e0.jpg)
Tangazo la hivi karibuni la rais wa Sudan kusini Salva Kiir kwamba amepunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10 ni tamko ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti ndani na nje ya taifa hilo.
Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais wa zamani Daktari Riek Machar amekaribisha tanganzo hilo la bwana Kiir na kusema ni hatua muhimu katika mchakato wa kuleta amani ya kudumu katika taifa hilo changa duniani ambalo limezongwa na mapigano ya umwakigaji damu ya wenyewe kwa wenyewe.
Siku ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog16 Feb
RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO
![Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo](https://media.parstoday.com/image/4bsof1e02e4df41k1yw_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Kiir aidhinisha majimbo mapya Sudan Kusini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGibJO**mq2pzjmaCQv7aEwM7TQHGS7ta6rk1Kon-xPhBCfHhzGB48OjCgLIdoQxE2U3t81Pn1LKG5LYMSOUbBmPb/1ss1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR
10 years ago
TheCitizen01 Feb
Letter to South Sudan’s Dr Riek Machal and Salva Kiir
10 years ago
StarAfrica.Com23 Jun
S/Sudan: Former ruling party Pagan Amum arrives in Juba to meet Salva Kiir
Sudan Tribune
StarAfrica.com
Pagan Amum Okech, the former Secretary General of the ruling party in south Sudan SPLM has returned to Juba on Monday to meet the south Sudan president Salva kiir Myardit.Amum was accompanied by the Kenyan Defense Minister after more than one ...
SPLM convenes special meeting after former secretary general's returnSudan Tribune
SPLM reunification meeting to begin Thursday in ArushaRadio...
11 years ago
Michuzi21 Jul
SECRETARY GENERAL CONCLUDES WORKING MISSION TO SOUTH SUDAN, Pays Courtesy Call on H.E. Gen. Salva Kiir
Present at the courtesy call were Hon. Dr. Barnaba Marial Benjamin, Minister of Foreign Affairs and International Cooperation; Hon. Aggrey Tisa Sabuni, Minister of Finance and Economic Planning; Minister of Internal Security and other...
11 years ago
BBCSwahili06 Jan
Bashir kukutana na Salva Kiir
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Rais Kikwete apokea ujumbe toka kwa Rais wa Sudani ya Kusini Mhe Salvar Kiir jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea Jumamosi September 14, Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma.(Picha na IKULU).