Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Sudan kusini Salva Kiir apunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10

Tangazo la hivi karibuni la rais wa Sudan kusini Salva Kiir kwamba amepunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10 ni tamko ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti ndani na nje ya taifa hilo.

Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais wa zamani Daktari Riek Machar amekaribisha tanganzo hilo la bwana Kiir na kusema ni hatua muhimu katika mchakato wa kuleta amani ya kudumu katika taifa hilo changa duniani ambalo limezongwa na mapigano ya umwakigaji damu ya wenyewe kwa wenyewe.

Siku ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO

Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimboAfrika Kusini imepongeza hatua ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ya kupunguza idadi ya majimbo nchini, moja ya matakwa makuu ya upinzani unaoongozwa na Riek Machar, kwa ajili ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.David Mabuza, Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ambaye pia ni mjumbe maalumu wa Sudan Kusini amesema kuwa, "hatua ya kimapinduzi iliyochukuliwa na Rais Salva Kiir imeandaa mazingira ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kabla ya kumalizika muda ulioanishwa unaomalizika ndani ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiir aidhinisha majimbo mapya Sudan Kusini

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini, ametoa ilani ya kuunda majimbo mengine 28, kutoka kwa yale kumi ya zamani.

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudan Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea jana Jumamosi Septemba 14, mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma. (PICHA NA IKULU)… ...

 

10 years ago

TheCitizen

Letter to South Sudan’s Dr Riek Machal and Salva Kiir

I hope you are fine, and now you can sleep peacefully after signing a peace agreement in Ngurdoto Tanzania. I salute you. Reaching such a juncture after long time fighting is recommendable and welcome, especially, for the people of South Sudan. I understand. You both, hand-in-hand, fought for the emancipation of your esteemed nation referred to as the youngest nation of the world. Again, your country is young but you are not.  This being the case, your maturity is an asset for the young...

 

10 years ago

StarAfrica.Com

S/Sudan: Former ruling party Pagan Amum arrives in Juba to meet Salva Kiir


Sudan Tribune
S/Sudan: Former ruling party Pagan Amum arrives in Juba to meet Salva Kiir
StarAfrica.com
Pagan Amum Okech, the former Secretary General of the ruling party in south Sudan SPLM has returned to Juba on Monday to meet the south Sudan president Salva kiir Myardit.Amum was accompanied by the Kenyan Defense Minister after more than one ...
SPLM convenes special meeting after former secretary general's returnSudan Tribune
SPLM reunification meeting to begin Thursday in ArushaRadio...

 

11 years ago

Michuzi

SECRETARY GENERAL CONCLUDES WORKING MISSION TO SOUTH SUDAN, Pays Courtesy Call on H.E. Gen. Salva Kiir

East African Community The Secretary General of the East African Community Amb. Dr. Richard Sezibera concluded his working mission to the Republic of South Sudan with a courtesy call on His Excellency Gen. Salva Kiir Mayardit at State House in Juba, South Sudan
Present at the courtesy call were Hon. Dr. Barnaba Marial Benjamin, Minister of Foreign Affairs and International Cooperation; Hon. Aggrey Tisa Sabuni, Minister of Finance and Economic Planning; Minister of Internal Security and other...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bashir kukutana na Salva Kiir

Rais wa Sudan Omar al-Bashir anatarajiwa kwenda Juba kwa mazungumzo na Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir nchi hiyo inapokumbwa na vita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete apokea ujumbe toka kwa Rais wa Sudani ya Kusini Mhe Salvar Kiir jijini Dar

ss1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini  ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea Jumamosi September 14, Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma.(Picha na IKULU).

ss2

unnamed (6)

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani