Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiir aidhinisha majimbo mapya Sudan Kusini

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini, ametoa ilani ya kuunda majimbo mengine 28, kutoka kwa yale kumi ya zamani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir apunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10

Tangazo la hivi karibuni la rais wa Sudan kusini Salva Kiir kwamba amepunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10 ni tamko ambalo limepokelewa kwa hisia tofauti ndani na nje ya taifa hilo.

Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais wa zamani Daktari Riek Machar amekaribisha tanganzo hilo la bwana Kiir na kusema ni hatua muhimu katika mchakato wa kuleta amani ya kudumu katika taifa hilo changa duniani ambalo limezongwa na mapigano ya umwakigaji damu ya wenyewe kwa wenyewe.

Siku ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya Malakal, Sudan Kusini

Mapigano yameshuhudiwa kwenye mji wa Malakal nchini Sudan Kusini kati ya jeshi la serikali na kundi hasimu

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini

Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO

Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimboAfrika Kusini imepongeza hatua ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ya kupunguza idadi ya majimbo nchini, moja ya matakwa makuu ya upinzani unaoongozwa na Riek Machar, kwa ajili ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.David Mabuza, Makamu wa Rais wa Afrika Kusini ambaye pia ni mjumbe maalumu wa Sudan Kusini amesema kuwa, "hatua ya kimapinduzi iliyochukuliwa na Rais Salva Kiir imeandaa mazingira ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kabla ya kumalizika muda ulioanishwa unaomalizika ndani ya...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudan Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea jana Jumamosi Septemba 14, mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma. (PICHA NA IKULU)… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Machar atofautina na Kiir kuhusu majimbo

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, ameongeza idadi ya majimbo ya nchi hiyo, kutoka 10 hadi kufikia 28.

 

10 years ago

Habarileo

Majimbo mapya hadharani Juni 31

 Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima RamadhaniMAJIMBO mapya ya uchaguzi yanatarajiwa kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuwezesha majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar yaongeza majimbo mapya 4

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salum TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya majimbo ya uchaguzi na mipaka huku ikiongeza idadi ya majimbo mapya manne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani