Kiir aidhinisha majimbo mapya Sudan Kusini
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini, ametoa ilani ya kuunda majimbo mengine 28, kutoka kwa yale kumi ya zamani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xoQXWVIpRpY/XktoH8kC9BI/AAAAAAALd1I/kQKnZTnPAywY5uYag-0CVfIuEkWYRhVIQCLcBGAsYHQ/s72-c/_107994035_a37f7533-7ca0-4c0d-970d-aa214be4a5e0.jpg)
Rais wa Sudan kusini Salva Kiir apunguza majimbo nchini humo kutoka 32 hadi 10
![](https://1.bp.blogspot.com/-xoQXWVIpRpY/XktoH8kC9BI/AAAAAAALd1I/kQKnZTnPAywY5uYag-0CVfIuEkWYRhVIQCLcBGAsYHQ/s640/_107994035_a37f7533-7ca0-4c0d-970d-aa214be4a5e0.jpg)
Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni makamu wa rais wa zamani Daktari Riek Machar amekaribisha tanganzo hilo la bwana Kiir na kusema ni hatua muhimu katika mchakato wa kuleta amani ya kudumu katika taifa hilo changa duniani ambalo limezongwa na mapigano ya umwakigaji damu ya wenyewe kwa wenyewe.
Siku ya...
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Salva Kiir na Riek Machar : Viongozi wa Sudan Kusini wakubaliana kuunda serikali ya muungano
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mapigano mapya Malakal, Sudan Kusini
Mapigano yameshuhudiwa kwenye mji wa Malakal nchini Sudan Kusini kati ya jeshi la serikali na kundi hasimu
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Mapigano mapya yazuka Sudan Kusini
Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kusitisha vita
5 years ago
CCM Blog16 Feb
RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO
![Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo](https://media.parstoday.com/image/4bsof1e02e4df41k1yw_800C450.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGibJO**mq2pzjmaCQv7aEwM7TQHGS7ta6rk1Kon-xPhBCfHhzGB48OjCgLIdoQxE2U3t81Pn1LKG5LYMSOUbBmPb/1ss1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudan Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea jana Jumamosi Septemba 14, mwaka huu Ikulu jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma. (PICHA NA IKULU)… ...
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Machar atofautina na Kiir kuhusu majimbo
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, ameongeza idadi ya majimbo ya nchi hiyo, kutoka 10 hadi kufikia 28.
10 years ago
Habarileo13 May
Majimbo mapya hadharani Juni 31
MAJIMBO mapya ya uchaguzi yanatarajiwa kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuwezesha majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.
10 years ago
Habarileo07 Jul
Zanzibar yaongeza majimbo mapya 4
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya majimbo ya uchaguzi na mipaka huku ikiongeza idadi ya majimbo mapya manne.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania