Zanzibar yaongeza majimbo mapya 4
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya majimbo ya uchaguzi na mipaka huku ikiongeza idadi ya majimbo mapya manne.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jun
RCC yapendekeza majimbo mapya
MAJIMBOya uchaguzi mkoani Iringa yako mbioni kuongezeka, kama itaridhiwa na Tume yaTaifa ya Uchaguzi (NEC) kutoka sita ya sasa hadi manane baada ya kikao maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC), kuafiki nyongeza hiyo.
10 years ago
Habarileo13 May
Majimbo mapya hadharani Juni 31
MAJIMBO mapya ya uchaguzi yanatarajiwa kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuwezesha majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.
10 years ago
Mwananchi14 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya 26
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ndlH41M8xGk/VaQaJ0yKaPI/AAAAAAAHpeM/CUhn7P9IjNg/s72-c/tume.png)
10 years ago
Mwananchi13 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya uchaguzi
10 years ago
MichuziNEC YATANGAZA MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Kiir aidhinisha majimbo mapya Sudan Kusini
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Haya ndio majimbo mapya 26 ya uchaguzi baada ya kugawanywa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Majimbo 26 Mapya 13 JULAI 2015.pdf
10 years ago
MichuziNEC KUGAWA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI KWA VIGEZO
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini(NEC),inatarajia kuchunguza mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi na kuyagawa kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa NEC,Jaji Mstaafu Damian Lubuva wakati alipokutana na viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili masuala mbalimbali ya Tume katika kuelekea uchaguzi Mkuu.
Amesema ugawaji wa Majimbo,Tume imezingatia vigezo mbalimbali...